Naomba nitoe nasaha kwa watawala kujitahidi kuwa wastahimilivu kwa viongozi wenzao na wananchi wengine. Na pia wajitahidi kufuata sheria, kanuni na taratibu zinazotoa nafasi pia kwa wangine bila kutumia mabavu.
Hili ni muhimu ukichukulia kwamba maisha ya binadamu hayategemei mamlaka pekee au ulinzi wa vyombo vya dola. Tukichukulia mfano wa mzee Mwinyi .aka. mzee Ruksa, siri yake ya kuishi miaka mingi huenda ni uwezo wake mkubwa wa kustahimili mapungufu ya wengine na changamoto mbalimbali na pia kuthibiti jazba.
Ni hayo tu kwa leo.
Hili ni muhimu ukichukulia kwamba maisha ya binadamu hayategemei mamlaka pekee au ulinzi wa vyombo vya dola. Tukichukulia mfano wa mzee Mwinyi .aka. mzee Ruksa, siri yake ya kuishi miaka mingi huenda ni uwezo wake mkubwa wa kustahimili mapungufu ya wengine na changamoto mbalimbali na pia kuthibiti jazba.
Ni hayo tu kwa leo.