Ustahimilivu na kuvumiliana ni vitu adimu sana katika uwanja wa siasa za Tanzania. Rejea fukuza fukuza ya wabunge wa upinzani toka bungeni iliyoongozwa na Anna Makinda na Ndugai, watu kupotezwa kisa wameikosoa siri-kali na wengine kupigwa risasi na kutiwa vilema vya maisha.
Chama changu kinafeli sana, kilitakiwa kiwe mfano wa kuigwa katika kuonesha political tolerance kwa watu wapinzani, Polepole, Gwajiboy na sasa Ndugai