Suala la Ngorongoro limegawanyika sehemu mbili, ni wazalendo vs wabinafsi

Suala la Ngorongoro limegawanyika sehemu mbili, ni wazalendo vs wabinafsi

James Martin

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2016
Posts
1,206
Reaction score
1,509
Ngorongoro ni urithi adimu sama duniani mwenyezi mungu ametupa Watanzania. Tunatakiwa tuilinde kama mboni ya macho yetu.

Cha kusikitisha watu wanawatumia Wamasai kama kivuli cha kuhifadhi mifugo yao kwenye hifadhi ya taifa.

Watu wenye pesa wameifanya hifadhi ya Ngorongoro kama sehemu ya kuhifadhia mifugo yao. Watu hao wanawatumia Wamasai kwa kuwalipa fedha kidogo ili kuwachungia na kuwahifadhia mifugo yao. Inasemekana wanasiasa na askari wa wanyama pori pia ni kati ya watu wenye mifugo huko Ngorongoro.

Kama serikali ikiwaondoa Wamasai Ngorongoro watu hao pia wataathirika. Ndio maana wanajifanya "kuwatetea" Wamasai ilhali wanatetea matumbo yao. Pia wameanza kueneza propaganda eti serikali inataka kuwaondoa Wamasai ili kuwauzia eneo hilo mabeberu!
 
We jiulize tu hizi thread zilizofunguliwa wiki hii kuhusu Ngorongoro ni hao wamasai kweli au ndio wenye ng'ombe au watumwa wa wenye ng'ombe wanaweka pressure wakidhani watapata support?

Tunaelewa ng'ombe ana thamani kwa Masai Ila sisi watanzania sio wamasai na Mbuga ni ya watanzania sio wamasai pekee.

Miaka ya 1950 waliondolewa ngorongoro sababu ya uhifadhi, Ina maana tayari kipindi kile walionekana ni threat kwa mbuga, hii haizuii na leo waliondolewa ngorongoro sababu ni threat kwa mbuga pia.

Wasukuma waliondolewa kwa operesheni maalum wakasambazwa maeneo mengine sababu walikuwa na ng'ombe wengi wakiharibu mazingira katika ukanda wa ziwa sasa ikabidi kuwasambaza ili kupunguza Ile pressure ya kunyang'anyana malisho ambayo ni threat kwa mazingira.

Masai haoni kwamba pale hatakiwi kukaa sababu anachukuliwa Kama kwake, pale huwezi hata kumilikishwa ardhi sasa kwa nini ukae sehemu hauna umiliki?

Ni vema wangetumia muda huu kukaa chini pamoja na serikali kujadili fidia na maeneo watakayofidiwa kupelekwa Kama yapo favorable kwa mifugo yao na Kama Kuna maji na huduma nyingine Kama hospital na shule pamoja na polisi nk.

Ubishi hautawasaidia
 
Ngorongoro ni urithi adimu sama duniani mwenyezi mungu ametupa Watanzania. Tunatakiwa tuilinde kama mboni ya macho yetu.

Cha kusikitisha watu wanawatumia Wamasai kama kivuli cha kuhifadhi mifugo yao kwenye hifadhi ya taifa.

Watu wenye pesa wameifanya hifadhi ya Ngorongoro kama sehemu ya kuhifadhia mifugo yao. Watu hao wanawatumia Wamasai kwa kuwalipa fedha kidogo ili kuwachungia na kuwahifadhia mifugo yao. Inasemekana wanasiasa na askari wa wanyama pori pia ni kati ya watu wenye mifugo huko Ngorongoro.

Kama serikali ikiwaondoa Wamasai Ngorongoro watu hao pia wataathirika. Ndio maana wanajifanya "kuwatetea" Wamasai ilhali wanatetea matumbo yao. Pia wameanza kueneza propaganda eti serikali inataka kuwaondoa Wamasai ili kuwauzia eneo hilo mabeberu!
Una ushahidi? Tatizo lenu mnatuchukulia poa. Sisi hatujasoma wengi lkn hao wachache waliosoma wako vizuri na wanaweza kutuonyesha njia.
Mnashangaa hivi vioja vyenu vinapanhuliwa kweli na Wamaasai?
 
We jiulize tu hizi thread zilizofunguliwa wiki hii kuhusu Ngorongoro ni hao wamasai kweli au ndio wenye ng'ombe au watumwa wa wenye ng'ombe wanaweka pressure wakidhani watapata support?

Tunaelewa ng'ombe ana thamani kwa Masai Ila sisi watanzania sio wamasai na Mbuga ni ya watanzania sio wamasai pekee.

Miaka ya 1950 waliondolewa ngorongoro sababu ya uhifadhi, Ina maana tayari kipindi kile walionekana ni threat kwa mbuga, hii haizuii na leo waliondolewa ngorongoro sababu ni threat kwa mbuga pia.

Wasukuma waliondolewa kwa operesheni maalum wakasambazwa maeneo mengine sababu walikuwa na ng'ombe wengi wakiharibu mazingira katika ukanda wa ziwa sasa ikabidi kuwasambaza ili kupunguza Ile pressure ya kunyang'anyana malisho ambayo ni threat kwa mazingira.

Masai haoni kwamba pale hatakiwi kukaa sababu anachukuliwa Kama kwake, pale huwezi hata kumilikishwa ardhi sasa kwa nini ukae sehemu hauna umiliki?

Ni vema wangetumia muda huu kukaa chini pamoja na serikali kujadili fidia na maeneo watakayofidiwa kupelekwa Kama yapo favorable kwa mifugo yao na Kama Kuna maji na huduma nyingine Kama hospital na shule pamoja na polisi nk.

Ubishi hautawasaidia
Ninyi ambao sio Wamaasai tumewaachia Serengeti, Mikumi, Lake Manyara, Tarangire, Selous, Burigi, Katavi, Kitulo, Ruaha, Rungwa na nyingine.
Ngorongoro sio ya kwenu. Ngorongoro ni eneo la malisho. Sasa ilipooonekana wanyama pia wapo, basi ndio ikaruhusiwa maisha mseto.
 
Ngorongoro haijawahi kuwa hifadhi ya Taifa. Eneo hilo la NCA ni eneo la Malisho ya ng'ombe wa Wamaasai toka kabla ya ukoloni.
 
Back
Top Bottom