Suala la Referees in CV mimi ni kuiga utamaduni wa nje ambao kwetu ni wa hovyo

Suala la Referees in CV mimi ni kuiga utamaduni wa nje ambao kwetu ni wa hovyo

Karemboo

Member
Joined
Dec 17, 2023
Posts
23
Reaction score
23
Ndugu zangu hivi swala la Referees mnalichukuliaje? Mimi naliona halijakaa kitaalam kabisa kwa mfano maofisini tunaona unakuta boss wako hataki ugrow hata ukipata safari tu ananuna ( huyu kweli atakurecommend vizuri huyu sehem nyingine tena ajue unaenda kupata maslah zaidi ya hapo?) lakini pia tz unafiki mwingi mtu anakuchekea usoni lakini moyoni ana chuki na wewe hujui unamweka kama referee akipigiwa simu anakuchinjia mbali… nishakutana na kisa cha mtu anasema yeye hakuwaigi kuitwa interview ila siku amebadili referees akaitwa na akapata kazi anyways ya Mungu mengi tuendelee kumtanguliza Mungu kwenye kila jambo.
Wana JF Tupeane visa vya mareferees na jinsi ya kuchagua referee mzuri
 
Ndugu zangu hivi swala la Referees mnalichukuliaje? Mimi naliona halijakaa kitaalam kabisa kwa mfano maofisini tunaona unakuta boss wako hataki ugrow hata ukipata safari tu ananuna ( huyu kweli atakurecommend vizuri huyu sehem nyingine tena ajue unaenda kupata maslah zaidi ya hapo?) lakini pia tz unafiki mwingi mtu anakuchekea usoni lakini moyoni ana chuki na wewe hujui unamweka kama referee akipigiwa simu anakuchinjia mbali… nishakutana na kisa cha mtu anasema yeye hakuwaigi kuitwa interview ila siku amebadili referees akaitwa na akapata kazi anyways ya Mungu mengi tuendelee kumtanguliza Mungu kwenye kila jambo.
Wana JF Tupeane visa vya mareferees na jinsi ya kuchagua referee mzuri
Kuna mtu aliomba kazi ya kuwa lecturer chuo cha sauti, sasa si akapigiwa referee wake. Jamaa alivyochizi akasema kuwa hatawambia chochote labda naye wampe ajira hapo chuoni.
Basi wote wakakosa.
 
Sisi tuna kikundi kidogo cha marafiki, when it comes to refferees hua tunawekana sisi kwa sisi na wengi wetu wanapata ajira bila shida. I think mostly hua hawafanyi background check ya hao marefa maana ukipigiwa unamsifia mwamba lazma apate kazi
 
Ndugu zangu hivi swala la Referees mnalichukuliaje? Mimi naliona halijakaa kitaalam kabisa kwa mfano maofisini tunaona unakuta boss wako hataki ugrow hata ukipata safari tu ananuna ( huyu kweli atakurecommend vizuri huyu sehem nyingine tena ajue unaenda kupata maslah zaidi ya hapo?) lakini pia tz unafiki mwingi mtu anakuchekea usoni lakini moyoni ana chuki na wewe hujui unamweka kama referee akipigiwa simu anakuchinjia mbali… nishakutana na kisa cha mtu anasema yeye hakuwaigi kuitwa interview ila siku amebadili referees akaitwa na akapata kazi anyways ya Mungu mengi tuendelee kumtanguliza Mungu kwenye kila jambo.
Wana JF Tupeane visa vya mareferees na jinsi ya kuchagua referee mzuri
Yaaani inakuwa tu mtu ni kama hataki kukupa kazi 😅😅😅 masharti mengine kazi kweli kweli kama kutembea na vyeti original kila Mkoa.
 
Lengo halikuwa baya, tatizo ni hao referees.
 
Hata kwengine unaenda kukutana na bosi na mabosi wanaongea lugha moja.
Kama unakosa bosi anayekuamini wa kumuweka kama rejea, bosi mpya ni ngumu kukuamini.
 
Kuna mtu aliomba kazi ya kuwa recturer chuo cha sauti, sasa si akapigiwa referee wake. Jamaa alivyochizi akasema kuwa hatawambia chochote labda naye wampe ajira hapo chuoni.
Basi wote wakakosa.
Nilianza kucheka ulivyoandika recturer.

Nikacheka zaidi huyo referee komedi aliyoisema
 
Sisi tuna kikundi kidogo cha marafiki, when it comes to refferees hua tunawekana sisi kwa sisi na wengi wetu wanapata ajira bila shida. I think mostly hua hawafanyi background check ya hao marefa maana ukipigiwa unamsifia mwamba lazma apate kazi
Bora nyie mmejiongeza
 
Mimi wakati natafuta kazi ya kujishikiza mareferee niliwaweka washkaji zangu.
 
Sisi tuna kikundi kidogo cha marafiki, when it comes to refferees hua tunawekana sisi kwa sisi na wengi wetu wanapata ajira bila shida. I think mostly hua hawafanyi background check ya hao marefa maana ukipigiwa unamsifia mwamba lazma apate kazi
Hivi kumbe cku hizi marefa huwa hawaandikagi tena A Letter of Recommendation?
 
Back
Top Bottom