U ukwega Senior Member Joined Apr 27, 2015 Posts 108 Reaction score 11 Jul 31, 2015 #1 Suala la Tanzania kuzuia mizigo ya Congo na magari bandarini kwa kudai walipe ushuru kwao ndio watoe magari yao bandarini, linatunufaisha vipi sisi watanzania tofauti na kujaza bandari yetu pia kukimbiza wateja? Hii imekaaje Watanzania?
Suala la Tanzania kuzuia mizigo ya Congo na magari bandarini kwa kudai walipe ushuru kwao ndio watoe magari yao bandarini, linatunufaisha vipi sisi watanzania tofauti na kujaza bandari yetu pia kukimbiza wateja? Hii imekaaje Watanzania?
Davion Delmonte Jr. JF-Expert Member Joined Oct 27, 2013 Posts 2,149 Reaction score 1,718 Aug 10, 2015 #2 Wao wajanja sana serikali ipo sahihi. Wakiachiwa kulipa ushuru hapa inamaana watalipa nusu halafu pindi wanapoingiza mzigo Congo wanamalizia nyingine. Ko Kuna wajanja wakishalipa ushuru hapa nusu hawapeleki mzigo Congo badala yake wanauzia hapa hapa. Ko serikali ya Congo ama Burundi wanakosa mapato
Wao wajanja sana serikali ipo sahihi. Wakiachiwa kulipa ushuru hapa inamaana watalipa nusu halafu pindi wanapoingiza mzigo Congo wanamalizia nyingine. Ko Kuna wajanja wakishalipa ushuru hapa nusu hawapeleki mzigo Congo badala yake wanauzia hapa hapa. Ko serikali ya Congo ama Burundi wanakosa mapato