Tz boy 4tino
JF-Expert Member
- Sep 14, 2014
- 1,598
- 1,822
Swala la ubaguzi wa rangi Marekani sio swala linalotokea kwa bahati mbaya. Chuki ya Mzungu dhidi ya mweusi sio tabia/hulka ya mtu. Ubaguzi Marekani unatokana na mfumo wa nchi hiyo, Wabaguzi wa rangi nchini Marekani hawajatokea kwa bahati mbaya bali mfumo ndo umetengeneza watu wa namna hiyo.
Mfano: Tazama video hapo chini, Namna watoto wa kizungu wakiwabagua watoto wakiAfrika huko nchini Marekani. Kwa nyuma utaona wazazi wao wakiwaangalia tu kama vile ni sinema ya aina fulani.
Mfano: Tazama video hapo chini, Namna watoto wa kizungu wakiwabagua watoto wakiAfrika huko nchini Marekani. Kwa nyuma utaona wazazi wao wakiwaangalia tu kama vile ni sinema ya aina fulani.