Tz boy 4tino
JF-Expert Member
- Sep 14, 2014
- 1,598
- 1,822
FafanuaN.B: Neno “Nigga” ni tusi kubwa sana pale ambapo Mzungu anapomtakia mtu mweusi.
Neno “Nigga” pale litumwiapo na Mzungu huwa na maana ya “mtumwa ”.Fafanua
Sidhani kama itasaidia maana wazungu wengi ni wapagani kwa sasa,Ubaguzi huwa upo tu. Cha msingi ni kila mmoja ajenge nahusiano yake binafsi na Mungu.
Kuna sehemu imeandikwa: "Mungu alimchukia Esau, akampenda Yakobo"
White people are more racist ndugu.Hata mwafrika ni racist tuanzie hapo kwanza.
Black people mumezoea kuharibu kila muendapo lazma mubaguliweWhite people are more racist ndugu.
Hao wamarekani wamezaliwa huko huko, Na hawajui asili yao ni wapi haswa hapa AfrikaAcheni upumbavu wa kulalamika Kila mara, Kama unabaguliwa miaka yote hiyo karibia miaka 200 unafanya Nini Huko?
Mbona Kila siku mnapanda ma boat mnataka kuzamia Marekani na Ulaya?
Fanyeni kazi muendeleze kwenu na hakuna atakayewabagua
Mtu unaweza ukahama nchi hata Kama umezaliwa nchi nyingine, mbona Waafrika wengi wanahamia Marekani kwa maelfu kwa Nini wakati Kuna ubaguzi?Hao wamarekani wamezaliwa huko huko, Na hawajui asili yao ni wapi haswa hapa Afrika
Ahaa, hapo Sasa ushajua tatizo la Hawa jamaa, hawana elimu halafu wanapenda starehe, huku Ni wavivu, wengi wanakimbilia uhalifu na kuimba muziki,Wengi hawana elimu mkuu, wanajua mnaishi kama bushmen hivyo wanaogopa kurudi.
Hata mwafrika ni racist tuanzie hapo kwanza.
White people are more racist ndugu.