Janja PORI
JF-Expert Member
- Jul 31, 2011
- 825
- 246
Leo asubuhi nimeskia Clouds Media wanazungumzia wakazi wa Salasala, Goba na maeneo yanayopakana na mito kutupa takataka mitoni, hii husababisha msimu wa mvua mito kujaa ama kupeleka takataka baharini, ubaya taka taka hizi ni plastic.
Swali ni kwamba viongozi wa Serikali za mitaa wanakimbia kuhojiwa. Je, viongozi wa hizi wilaya mbili wanashindwa kufanyia kazi hili suala?
Mji wa Dar es Salaam unakua sana, tukishindwa kudhibiti suala dogo kama hili tunakuwa tunaharibu mazingira.
Swali ni kwamba viongozi wa Serikali za mitaa wanakimbia kuhojiwa. Je, viongozi wa hizi wilaya mbili wanashindwa kufanyia kazi hili suala?
Mji wa Dar es Salaam unakua sana, tukishindwa kudhibiti suala dogo kama hili tunakuwa tunaharibu mazingira.