RWANDES
JF-Expert Member
- Jun 12, 2019
- 1,788
- 4,401
Ni wazi kuwa Tanzania tangu ugonjwa huu mkubwa ulipuke duniani kote tumeendelea kuchukua tahadhali ikiwa njia ya kutumia dawa zetu za kienyeji pamoja na kujifukiza hii njia ilituvusha mwaka 2020 na ndiyo maana hatukuweza kufungiwa majumbani na maisha yaliendelea kama kawaida.
Baada ya hayati Magufuli kuchukuliwa na Mungu serikali ya awamu ya sita iliunda kamati ya wataalam kuja na tafti ya ugonjwa huo ambapo mheshimiwa Samia Suluhu Hassan, Rais wa sita wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania alisema tanzania siyo kisiwa lazima tukubaliane na wenzetu kamati hiyo ilibaini kuwa ugonjwa huo upo Tanzania kutokana na taarifa iliyotolewa ikulu wakati wa makabidhiano wa nyaraka za taarifa za ugonjwa huo.
Ikumbukwe kwamba pamoja na nchi tajiri kufungia ndani watu wao na kupokea chanjo ya ugonjwa huo bado na kuwa na madaktari bingwa na vifaa tiba watu wao waliendelea kuangamia mfano mzuri india china n.k.
Sisi kama taifa tena taifa maskini kwanini tusiendelee kutumia mbinu iliyotuvusha mwaka 2020 tunaomba swala hili raisi alifikirie kwa kuwa hizo kamati alizoziunda zimepiga hela na hakuna tutakachofanikisha.
Tunakuomba mheshimiwa raisi tuendelee kutumia mbinu zetu tulizotumia.
Baada ya hayati Magufuli kuchukuliwa na Mungu serikali ya awamu ya sita iliunda kamati ya wataalam kuja na tafti ya ugonjwa huo ambapo mheshimiwa Samia Suluhu Hassan, Rais wa sita wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania alisema tanzania siyo kisiwa lazima tukubaliane na wenzetu kamati hiyo ilibaini kuwa ugonjwa huo upo Tanzania kutokana na taarifa iliyotolewa ikulu wakati wa makabidhiano wa nyaraka za taarifa za ugonjwa huo.
Ikumbukwe kwamba pamoja na nchi tajiri kufungia ndani watu wao na kupokea chanjo ya ugonjwa huo bado na kuwa na madaktari bingwa na vifaa tiba watu wao waliendelea kuangamia mfano mzuri india china n.k.
Sisi kama taifa tena taifa maskini kwanini tusiendelee kutumia mbinu iliyotuvusha mwaka 2020 tunaomba swala hili raisi alifikirie kwa kuwa hizo kamati alizoziunda zimepiga hela na hakuna tutakachofanikisha.
Tunakuomba mheshimiwa raisi tuendelee kutumia mbinu zetu tulizotumia.