A
Anonymous
Guest
SUALA LA VYETI.
Utaratibu ambao umewekwa na vyuo vya kati na sera zao unatakiwa kuchunguzwa na kufanyiwa maboresho, hasa VETA.
Haiwezekani mtu amalize chuo na matokeo yatoke halafu akae mwaka mzima awe anasuburia cheti. Hivi ndio utaratibu au kanuni?
Utaratibu ambao umewekwa na vyuo vya kati na sera zao unatakiwa kuchunguzwa na kufanyiwa maboresho, hasa VETA.
Haiwezekani mtu amalize chuo na matokeo yatoke halafu akae mwaka mzima awe anasuburia cheti. Hivi ndio utaratibu au kanuni?