Suala la Vifurushi ndo limeshapita! Vodacom, Tigo na Airtel wameitunishia misuli Serikali

haszu

JF-Expert Member
Joined
Oct 10, 2017
Posts
978
Reaction score
2,313
Ukiangalia marekebisho wanayosema wamefanya ni ujanja ujanja tu, hakuna kilichofanyika, kifupi hii naona ndo imeshapita tayari tuendelee kuisona namba.
 
Tigo wamejiondoa rasmi kwenye 'freebasics', sijui itakuwaje mamamaee zao!
 
Siku Ndugulile akitumbuliwa, mnijulishe. Maana naona kama hatoshi vile kwenye hiyo wizara.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…