johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Wale mliokuwa mnategemea kununua bidhaa ndogo ndogo kwa wamachinga pale Mwenge mjue leo ndio mwisho eneo lile limesafishwa na hapatakiwi kuonekana mtu yoyote anafanya biashara.
Maendeleo hayana vyama!
Maendeleo hayana vyama!