Angalieni mambo haya,,, ktk interview utaulizwa ,,, je unamfahamu mtu yeyote ktk office hii, je utajibu nini, km hapana utaambiwa mbona barua yako imemtaja mh kwa jina, then unaweza kupoteza chansi km utasema simjui utakuwa umedanganya kwani barua yako uliadress kwake,, pili office ni jopo la watu wanaobeba majukumu yenye vision moja! Mfano president office haina maana raisi yupo ktk hiyo office, sasa km barua zinatakiwa kwenda kwa PS office ya raisi ni ruksa kuadress barua kwa raisi maana ndo mwenye office, au PS wakati huwa ma PS wanaweza kuwa 3 pamoja na kaimu, mwisho kutofuata maelekezo ni dalili ya kutupwa nje ktk mtihani, mwisho nikushauri appl letter yako usimtaje mtu, ila ktk interview kama unajua interviewer wako basi ni vema umuadress kwa jina to make more passionate, lkn kumtaja ktk barua ni hatari kwa nafasi yako, kumbuka ktk oral interv ,, interviewer anazo docs zako zote mezani.