Suali liko hivi.

Mwiba

JF-Expert Member
Joined
Oct 23, 2007
Posts
7,607
Reaction score
1,750
Je inawezekana anaeshitaki kuwakilisha wakili na yeye asiwepo mahakamani kwa muda wote mpaka kesi inamalizika hajaonekana mahakamani. ?
Kama inawezekana mshatakiwa anaweza kudai anemshitaki afike mahakamani ?
 
Invisible, itabidi ufanye hima forum ya mambo ya sheria na mahakama isimame hivi mapema. Swali la Mwiba hapo juu naona ni la nguvu... wataalam wamsaidie jamani..

SteveD.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…