Sub ya Wawa Imemchefua Kocha Pablo,Ni sarakasi za Mwamuzi, Matola au Ndiyatimana

Labda tusubirie alichoongea PABLO baada ya mechi ..
Yeye ndiye anayejua kwa nini vile.

But vyovyote itakavyokuwa KOCHA PABLO ametuma ujumbe tosha kuwa yeye ni mtu wa aina gani inapokuja issue ya msimamo wake.
Wachezaji na wadau kuwa hana mchezo mchezo...inapokuja issue ya kibarua chake...wachazaji mjipange haswa..mkijua and this is professional...
 
ile mechi ya Sevilla hata sub zisingefanyika tungepigwa tu,wale majamaa wapo juu sana
Hapana mzee hilo nakataa ni kweli sevilla wapo juu lakini ile mechi walidharau na walikua wanaenda kuaibika, yani kila nikiangalia hadi marudio ile mechi naishia kunyoosha kidole cha kati kwa uchebe popote alipo

Ile mechi alifakisha uchebe ilikua sio ya kufungwa, alichokifanya uchebe ni sawa na kishingo alivopanga kikosi kwenye ile simba day ya mwaka jana yani kila mchezaji alicheza
 
CHUKUA HII, PABLO YUKO SAHIHI, TENA NI PROFESSIONAL HASWAAAA

"Ni hivi Coach alimsimamisha Jimmyson na Wawa badala ya Henock na Kibu!

Wakati wa kubadili Waamuzi wakamwingiza Jimmyson peke yake badala ya wote wawili; Coach akawa mbogo mana unaua nafasi za sub, Ndio maana Pablo Alionesha Vidole viwili Akimanisha kuwa Ilipaswa wote wawili Waingie Kwa Mpigo.

Rejea sub ni mara 3 tu! Wakati mpira unaendelea Tshabalala akaumia ikabidi nafasi ya kuingia Wawa isiwepo! Sasa bado waamuzi wao wakawa wamekariri kuwa ni Wawa ndiye anayeingia! Badala yake ikabidi sub ya Wawa isiwepo sababu Henock ikabidi abaki na
atoke Tshaba aliyeumia!"

Waamuzi walitengeneza Mtego ambao Kocha Asinge kuwa Na Msimamo, Tungepokonywa Point Tatu Leo kwa Sheria Ya Sub.

Sub Zinafanyika 2, 2, 1 ukifanya 2, 1,1,1 ni kosa na Adhabu ni kupokonywa ushindi.
 
Wengine hatujaona. Pia kumbuka Jf ni chanzo cha habari kama vyombo vingine uvijuavyo. Watu wakikosa habari muhimu kutoka vyombo vingine wanaweza kuzipata hapa
Mkuu mbona umesimulia kitu ambacho kila mmoja kaona

Nikajua Uzi wako, una maelezo mengine yatokanayo na maoni.

Basi ungekaribisha watu wajadili .



Au ndo speed za kuwahi kuandika kilichotokea kabla hujawaiwa???.
 
Umeona peke yako au?? Kocha alitaka waingie wawili wakati aliyeinuliwa kutoka bench ni mmoja?? Refa wa akiba ameletewa mchezaji mmoja tu na ameonekana ni Wawa. Wewe hayo umeyatoa wapi?? Acha ukilaza pimbi wewe.
 
Hasira za kijinga. Si jambo la kubaki unapanik kiasi kile. Hajaonesha ukomavu pale
 
punguzeni mihemko
 
Sidhani kama ilifaa ku-react that way. Amemuumiza sana mchezaji
 
Mkuu mbona umesimulia kitu ambacho kila mmoja kaona

Nikajua Uzi wako, una maelezo mengine yatokanayo na maoni.

Basi ungekaribisha watu wajadili .



Au ndo speed za kuwahi kuandika kilichotokea kabla hujawaiwa???.
Vizabina zabina hao. Masikio wazi kusikiliza kwa jirani kuna nini wasambaze umbea.
 
Hii kitu imetia aibu Sana mkuu, hata sijajua ttzo nini hadi kocha awe na reaction kubwa ya Aina Ile!
Sasa aibu ya nini wakati hujui kilichosababisha? Tuambie kilichosababisha tuconclude kama ni aibu au ilikwaza.
 
Huyu kocha ana hasira za kuiga,unajua wanamichezo hasa huu wa mpira huwa wanaigana mambo mfano namna ya kutema mate,mchezaj kushndwa kufanya kitu anaanza kupga chini kwa mkono hv vyote wanaigana hawa mapimbi,hakukuwa na tukio la kuwa na hasira za hvyo
 
Haya maswala ya kuweka subs kinyemera yamemchosha Pablo, hao wapuuzi waondoke zao, hatutaki ujinga wao
 
Mkuu mbona umesimulia kitu ambacho kila mmoja kaona

Nikajua Uzi wako, una maelezo mengine yatokanayo na maoni.

Basi ungekaribisha watu wajadili .



Au ndo speed za kuwahi kuandika kilichotokea kabla hujawaiwa???.
Wengine hatujaona
 
Hii kitu imetia aibu Sana mkuu, hata sijajua ttzo nini hadi kocha awe na reaction kubwa ya Aina Ile!
Wanagombea madaraka, Selemani Huwa hakubali kuwa second fiddle japo hana vyeti ila waganga na fitna tu. Watajiju.
 
Umeona peke yako au?? Kocha alitaka waungie wawili wakati aliyeunuliwa kutoka bench ni mmoja?? Refa wa akiba ameletewa mchezaji mmoja tu na ameonekana ni Wawa. Wewe hayo umeyatoa wapi?? Acha ukilaza pimbi wewe.
Mimi sinaga mihemko Kwa watu wenye stress km wewe..hukuwa na sababu ya kuniita pimbi hata km sipo sahihi maana sijaandika ili unitukane

Endapo utaangalia tena Replay ukaona kocha akionyesha vidole viwili kumaanisha wachezaji wanaingia wawili badala yake akaingia mmoja kisha mchezo ukaendelea,utafuata Hilo tusi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…