Subaru Forester & Mitsubishi Outlander nichukue ipi?

Subaru Forester & Mitsubishi Outlander nichukue ipi?

and 300

JF-Expert Member
Joined
Jun 27, 2012
Posts
26,398
Reaction score
36,406
Wakuu nimeingia tamaa ya kubadilisha Xtrail kwenda 2009 Subaru Forester XS 2.5 au 2009 Outlander nichukue ipi?
 

Attachments

  • download (15).jpeg
    download (15).jpeg
    9.7 KB · Views: 26
  • download (16).jpeg
    download (16).jpeg
    10.8 KB · Views: 26
Unaweza kutaja sofa za Subaru dhidi ya Outlander?
Ukiangalia review ya watumiaji na kigezo cha parts na wingi wa aina zote za magari hapa kwetu kwa maana ya ufundi ndizo sifa zimenifanya nishauri subaru zaidi ya Outlander
Wataalamu watakupa tups za perfomance, confortability na vitu vingine chief
 
Mimi nipo nayo hapa Subaru forester XT hii ni wiki ya tatu Toka nianze kumiliki hii gari kwahiyo nitakupa ABC za forester Tu kwasababu outlander sijawahi hata kuendesha.
1) forester inahitaji uangalifu wa Hali ya juu Sana kwenye service hasa engine oil, oil filter
2) haya magari sio ya kuingia kila kituo cha mafuta( hapa itabidi uweke unleaded petrol Tu au premium petrol)
3) zenye turbo ndiyo zinahitaji zaidi umakini wa kuangalia oil na coolant kilasiku na oil zake ni Atlantic, liqui moly na castor Tu
4) kwenye performance kama utachukua XT hii ni zaidi ya ndege maana huyu mnyama anapaa hatari sana na ina nguvu si mchezo
5) mziki wake ndani uko vizuri hakuna haja ya kuongezea woofer

#kwa upande wa outlander inafanana Sana na forester ingawa kwenye performance sijui ila hizi gari Zina matoleo mawili yaani Ile ya CC 1790 na CC 2400 hii ndiyo inafaa zaidi Kwa MTU wa safari ndegu
IMG_20240813_180449.jpg
IMG_20240801_153031~2.jpg
IMG_20240801_153053~2.jpg
 
Mimi nipo nayo hapa Subaru forester XT hii ni wiki ya tatu Toka nianze kumiliki hii gari kwahiyo nitakupa ABC za forester Tu kwasababu outlander sijawahi hata kuendesha.
1) forester inahitaji uangalifu wa Hali ya juu Sana kwenye service hasa engine oil, oil filter
2) haya magari sio ya kuingia kila kituo cha mafuta( hapa itabidi uweke unleaded petrol Tu au premium petrol)
3) zenye turbo ndiyo zinahitaji zaidi umakini wa kuangalia oil na coolant kilasiku na oil zake ni Atlantic, liqui moly na castor Tu
4) kwenye performance kama utachukua XT hii ni zaidi ya ndege maana huyu mnyama anapaa hatari sana na ina nguvu si mchezo
5) mziki wake ndani uko vizuri hakuna haja ya kuongezea woofer

#kwa upande wa outlander inafanana Sana na forester ingawa kwenye performance sijui ila hizi gari Zina matoleo mawili yaani Ile ya CC 1790 na CC 2400 hii ndiyo inafaa zaidi Kwa MTU wa safari ndeguView attachment 3075505View attachment 3075511View attachment 3075512
Maelezo yamenyooka, naona chuma ipo kwa Dada Jamila hapo
 
Back
Top Bottom