Jack HD
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 851
- 1,168
Wakuu habari za weekend,
Sio siri nimejibana sana kununua ndinga nikiamini kwenye kuanza kujenga. Nashkuru nimepata kapango cha kujihifadhi na nimeamua kuvuta ndinga. Kabla sijavuta mchuma niliwafuata jamaa zangu kadhaa kwa ushauri. Vipaumbele vyangu vingiwa Gari yenye gharama ndogo ya mafuta, maintenance na uagizaji. Nilihitaji gari isiyokuwa na engine capacity ya zaidi ya 1500 na owe low mileage, chini ya 80,000KM. Niliposhauriwa IST I was like kila nikigeuka naona everybody owns it, imekaa sana sokoni soon itaondoka na hii gari nataka nikae nayo kwa muda. Wapo walionishauri Allex, Premio lakini mwisho wa Siku I met this friend of mine. Akaniuliza what is your desire. Nikamwambia Subaru Impreza Hatchback zilizoanza kutoka mwaka 2007. Tukaanza kuifanyia assessment. Kwenye ulaji wa mafuta ni 13/16 urban/highway it can go down to 10km/l kukiwa na traffics kubwa. I can use budget ya IST ama Allex kuimport hii gari, utata kidogo ulikuja kwenye maintenance. Cost zilionekana kuwa juu kiasi though tuliambiwa spare zake ni mkataba. Je, Subaru Impreza Hatchback ni chaguzi sahihi? Vp kwenye masuala ya maintenance kuna yoyote mwenye experience na hzi gari akaongelea?? Shukrani!!
Sio siri nimejibana sana kununua ndinga nikiamini kwenye kuanza kujenga. Nashkuru nimepata kapango cha kujihifadhi na nimeamua kuvuta ndinga. Kabla sijavuta mchuma niliwafuata jamaa zangu kadhaa kwa ushauri. Vipaumbele vyangu vingiwa Gari yenye gharama ndogo ya mafuta, maintenance na uagizaji. Nilihitaji gari isiyokuwa na engine capacity ya zaidi ya 1500 na owe low mileage, chini ya 80,000KM. Niliposhauriwa IST I was like kila nikigeuka naona everybody owns it, imekaa sana sokoni soon itaondoka na hii gari nataka nikae nayo kwa muda. Wapo walionishauri Allex, Premio lakini mwisho wa Siku I met this friend of mine. Akaniuliza what is your desire. Nikamwambia Subaru Impreza Hatchback zilizoanza kutoka mwaka 2007. Tukaanza kuifanyia assessment. Kwenye ulaji wa mafuta ni 13/16 urban/highway it can go down to 10km/l kukiwa na traffics kubwa. I can use budget ya IST ama Allex kuimport hii gari, utata kidogo ulikuja kwenye maintenance. Cost zilionekana kuwa juu kiasi though tuliambiwa spare zake ni mkataba. Je, Subaru Impreza Hatchback ni chaguzi sahihi? Vp kwenye masuala ya maintenance kuna yoyote mwenye experience na hzi gari akaongelea?? Shukrani!!