ebbyramadhani
Senior Member
- Jan 5, 2017
- 101
- 109
Gari yeyote hata corolla ti ikikosa matunzo sahihi itakutesa gari n matunzo ndo maana si wapenda magari huwa tunasema gari n zaidi ya mke any ehee go for it ikiwa natural aspired n nzur zaidi kama n mgenyi ktk magari but if n turbo kuwa na nidhamu ya uendeshaji ukishapita gari lako nichek nikuunge ktk Subaru impreza family Tanzania w3nzio watakupa experience zaidi wanaishi vp na magari yao na yanapendeza vp
Niliongelea watsapHii whatsapp au telegram boss??
Yan ww nakufwatilia kwa karibu sn kilakitu unaponda….Gari baya. Uvungu wake upo chini sana.
Pia pua yake ndefu kupita kiasi.
Wapi niliponda IST jombaa.Yan ww nakufwatilia kwa karibu sn kilakitu unaponda….
Juke unaponda, subaru unaponda, ist unaponda ss n nn km sio wivu tuuum
Ngoja nitafute ile comment yakoWapi niliponda IST jombaa.
Acha uongo
Upo sahihi kabisa, lakin pia nahc bonet ndefu kutokana n muundo wa engine pia…Tatizo la subaru ipo chini sana...pua kua ndefu ni advantage inaweza kukukinga zaidi wakati wa ajali.
Hahaha, eti corolla iliochangamkaNi utofauti wa majina tu ila hiyo ni Corolla iliyochangamka ichukue ni affordable