Car4Sale Subaru impreza xv 2013 model with hybrid system

Car4Sale Subaru impreza xv 2013 model with hybrid system

EllySkyWilly

JF-Expert Member
Joined
Aug 28, 2020
Posts
2,204
Reaction score
2,085
Subaru impreza xv 2013 model yenye hybrid system, inauzwa 39M Tsh

Kwa maelezo zaidi PM.

image_51be7afc-b838-4b92-99a8-c379dbda3f6c20210401_172806.jpg


image_5841a1fd-0e64-4318-b001-e54101a979e820210401_172801.jpg


image_4c660a75-ec85-4839-b7a2-298161dd549820210401_172755.jpg


image_97717544-0eb8-4e46-b775-8134898383db20210401_172751.jpg
 
Tatizo la Magari Hybrid Bongo mafundi hakuna wachache waliopo bado ni wa kubabaisha sana. Ile Genereation ya Mafundi wazuri wa Magari imepotea saivi mafundi wengi waliopo ujanjajanja mwingii.
 
Tatizo la Magari Hybrid Bongo mafundi hakuna wachache waliopo bado ni wa kubabaisha sana. Ile Genereation ya Mafundi wazuri wa Magari imepotea saivi mafundi wengi waliopo ujanjajanja mwingii.
Mafundi wajiandae kwenda kusomea ufundi vyuo vikuu,miaka michache ijayo tunaenda kwenye enzi mpya ya full computerized cars.Ndiyo watajua kuwa hawajui!
 
Kweli kabisa Mkuu...maana Tech inavyokua kwa Kasi ufundi wa Kubabaisha hauna nafasi
Tanzania tuna changamoto kubwa sana ya mafundi kwa sababu mtu anamaliza darasa la saba kisha anakataa kuendelea na form one kwa madai kuwa anataka aende ufundi wa magari halafu ufundi wenyewe anaoenda wala siyo hata VETA bali ni kwenda garage akajifunze kupitia washikaji zake huko.Sasa haya magari ya kisasa ambayo ni full computerized mafundi kama hawa watawezena na magari?
 
Tanzania tuna changamoto kubwa sana ya mafundi kwa sababu mtu anamaliza darasa la saba kisha anakataa kuendelea na form one kwa madai kuwa anataka aende ufundi wa magari halafu ufundi wenyewe anaoenda wala siyo hata VETA bali ni kwenda garage akajifunze kupitia washikaji zake huko.Sasa haya magari ya kisasa ambayo ni full computerized mafundi kama hawa watawezena na magari?
Haha! nlienda garage moja jinsi wajavyo ita spare parts utashangaa
 
Tanzania tuna changamoto kubwa sana ya mafundi kwa sababu mtu anamaliza darasa la saba kisha anakataa kuendelea na form one kwa madai kuwa anataka aende ufundi wa magari halafu ufundi wenyewe anaoenda wala siyo hata VETA bali ni kwenda garage akajifunze kupitia washikaji zake huko.Sasa haya magari ya kisasa ambayo ni full computerized mafundi kama hawa watawezena na magari?
Ni kweli
 
Unategemea ununue gari 40m ukatengeneze chini ya mti hakuna gari isiyotengenezwa Tanzania nipo SA ila gari zote za kisasa uwe na parts yake tuu itatengenezwa bongo wabongo na wabongo hasa Arusha nimewavulia kofia hizo XV hapa wanatengeneza tuu mpaka hizo Tuccson Honda 2015 sumbufu sumbufu lakini zinatulia zikikutana na wadogo watata kwenye kugundua matatizo hiyo gari hata haizungumziwi tatizo tunatumia gari za miaka kumi na moja nyuma mwaka 2003 nilileta honda barrade ilikua auto kipindi hicho wapo na manual walisema ya kike niliishia kuiacha home 2015 nilipita na Subaru ya 2009 ilikua inaenda Kenya Subaru Forester XT 2.5 ya 2010 ilikosolewa balaa leo hii 2021 ndio zinaagizwa Japan wanaziona hazina makosa
 
Tanzania tuna changamoto kubwa sana ya mafundi kwa sababu mtu anamaliza darasa la saba kisha anakataa kuendelea na form one kwa madai kuwa anataka aende ufundi wa magari halafu ufundi wenyewe anaoenda wala siyo hata VETA bali ni kwenda garage akajifunze kupitia washikaji zake huko.Sasa haya magari ya kisasa ambayo ni full computerized mafundi kama hawa watawezena na magari?
Shida kwelikweli...mafundi wa hivi wamekuwa wakiharibu sana Magari ya watu.
 
Unategemea ununue gari 40m ukatengeneze chini ya mti hakuna gari isiyotengenezwa Tanzania nipo SA ila gari bezote za kisasa uwe na parts yake tuu itatengenezwa bongo wabongo na wabongo hasa Arusha nimewavulia kofia hizo XV hapa wanatengeneza tuu mpaka hizo Tuccson Honda 2015 sumbufu sumbufu lakini zinatulia zikikutana na wadogo watata kwenye kugundua matatizo...
Shida na Ugonjwa mkubwa wa Wabongo ni Uoga wa kuagiza Spare. Yaani Mmbongo ana uwezo wa kuagiza Gari kutoka Japani lakini anaogopa kuagiza Spare Ujerumani au UK😁😁😁
 
Shida na Ugonjwa mkubwa wa Wabongo ni Uoga wa kuagiza Spare. Yaani Mmbongo ana uwezo wa kuagiza Gari kutoka Japani lakini anaogopa kuagiza Spare Ujerumani au UK😁😁😁
Humu tukiwaambia Kodi imedumaza vichwa wengine wanabisha wenzetu wazambia washazisahau hizo XV na ukiipata hapa ya bei nzuri wateja ni Zambia hapo sisi tushazoea vipasso kwa sababu spare zipo hata kama una hela...hiyo XV unaweza ukaendesha tuu miaka hata zaidi ya mitatu ndio ukahitaji ubadili kitu wateja wengine ni Kenya hapo...
 
Back
Top Bottom