Subaru legacy year 2004

Choro nondo

Member
Joined
May 23, 2018
Posts
15
Reaction score
6
Habari zenu ndugu zangu..natumai ni wazima wa afya kama ndo ivyo tumshukuru mungu kwa pamoja alhamdulilah mimi ndugu zangu na subaru legacyb4 year2004 shida yangu moja tu kwenye ac nikiwasha ac ubaridi unakuja baadae unakata nalafu unarudi tena ivyo ivyo nishajaza sana gas nakusafisha filter lakini wapi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…