Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wrx sti sio mchezo.Modes/tunings zote hapo ndio kwao.Kuelewa sport car lazma uwe mdau ila kama waendesha gari km usafiri hapo lazma ueleweshwe kdgo
Utakuta alipigwa kipindi ananunua na yeye anatafuta mnyonge wake hiyo hela unanunua coaster48m...nilijua mistype kumbe real..
Waafrika na sisi jamani, sasa hako ulikanunua bei juu ufanyie nin kwa mazingira yetu.
Dar speed kubwa labda uendeshe usiku...
Kijijini kwenu kanafika na kurudi na nn
Ndiyi mkuu...M48 za noti ya kitanzania..[emoji1][emoji1]48mil ya noti au?
Kila la kheriNdiyi mkuu...M48 za noti ya kitanzania..[emoji1][emoji1]
prado mbili flan hiv48 si unapata prado kabisa
Mnao jua hiyo gari, mlitakiwa kushusha nondo ili watu waielewe wanaweza ingia mifukoniHamuijui hii gari ndo mnalalamika bei. Kwa hilo gari hio bei ni sawa kabisaa
Asipoteze hata Muda nao mzee baba,hakuna car enthusiast asiyeijua hio Gari.Hao wote wanaoshangaa hio gari watulie wakanunue Gari za wanyonge walizozizoea kama brevis,Rav 4 old model,Vitara old model na Gari za dizaini hio.Mnao jua hiyo gari, mlitakiwa kushusha nondo ili watu waielewe wanaweza ingia mifukoni
Kudadeki bahaba haya manual unasifiaNimeipenda Sana hii gari alafu ni manual transmission.....bonge moja ya gari Kwa wapenda speed