Kwa sasa ana matatizo ya akili lakini
na hili linajithibitisha baada ya kumkana mwanae kwenye vyombo vya habari
Bado itaendelea kua kwenye peak hata baada ya kifo cha patelMotisun group...
Nani kawambia unaweza kuugua CORONA kwa miezi miwili?corona imefanya yake
Kasoma field kana yangu. Ngoja nikomae, niwe na maisha mazuri.
Aaah . . . . .kumbe ndiyo hawa makabaila eeh . . .Ni mfadhili wa miradi mingi ya maendeleo ikiwemo ujenzi wa shule ya sekondari ya Chifu Ihunyo Musoma vijijiji (Jimboni kwa Mhe. Nimrod Mkono) sambamaba na Bw. Jeetu Patel wa Noble Azan Investments, yeye ndie aliyefadhiri misumari, nondo na mabati yote.
Pumba voo!corona imefanya yake
Jamaa alitumia vizur elimu yake kua karibu na JK
Kweli utajiri na una njia zakeSio kutumia elimu kuwa karibu na JK bali hawa ni jamaa wakushibana kwasababu wamekuwa wote tangu utotoni kwakuwa Subhash ni mzawa wa Pwani, amesoma shule ya awali na Kikwete na pía ukubwani wameendelea kudumisha u-family friends
Hvyo familia hizi mbili za Mh JK na Patel wamekuwa wakisaidiana ktk mambo mbalimbali toka enzi na enzi kabla hata JK hajawa Rais
Historia hii niliisikia ktk risala ya Marehemu pía Ridhiwani alikazia ktk moja ya mahojiano na chombo fulani cha habari wkt wa msiba