Subira Mwikwabi: Wanaume wengi ni kikwazo kwa wasanii wa kike

Subira Mwikwabi: Wanaume wengi ni kikwazo kwa wasanii wa kike

Miss Zomboko

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2014
Posts
4,599
Reaction score
9,532
Ni vigumu kuingia na kutamba katika Tasnia ya muziki nchini Tanzania, lakini inadaiwa kuwa ni vigumu zaidi kwa wanamuziki wanawake hususani wasichana.

Subira Mwikwabi ambaye ameanza kutamba miaka ya hivi karibuni, ijapokuwa amesumbuka kwa miaka mingi kujaribu kurekodi kisha kupenya katika soko, anasema kilichomkwamisha ni wanaume ambao wengi ndiyo wako kwenye vyombo vya habari na studio za kurekodi.

Amezungumza na Arnold Kayanda


BBC
 
Back
Top Bottom