WLF Tanzania
Member
- Oct 9, 2014
- 38
- 22
Wana jamvi,
Leo tumeona tuwakumbushane mambo kadha wa kadha kuhusu kujihusisha na ngono, hasa kama haupo tayari kuwa na mtoto.
Kuna hatari kubwa ya kupata mimba unapojihusisha na ngono, lakini kuna njia nyingi za kujiepusha mpaka pale unapokouwa tayari.
Baadhi ya njia za ngono salama/ kuzuia mimba zisizotarajiwa:
Ni njia gani kati ya hizi inakufaa zaidi?
Karibuni
Leo tumeona tuwakumbushane mambo kadha wa kadha kuhusu kujihusisha na ngono, hasa kama haupo tayari kuwa na mtoto.
Kuna hatari kubwa ya kupata mimba unapojihusisha na ngono, lakini kuna njia nyingi za kujiepusha mpaka pale unapokouwa tayari.
Baadhi ya njia za ngono salama/ kuzuia mimba zisizotarajiwa:
- Kufanya ngono salama
- Kutumia vidonge vya dharura vya uzazi wa mpango
- Kusubiri wakati unaofaa
Ni njia gani kati ya hizi inakufaa zaidi?
Karibuni