Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Kinauzwa laki na 20 hii bei ya kariakooUlikanunua bei gani mrembo
AsanteKinauzwa laki na 20 hii bei ya kariakoo
Uko wapi....😹Yaani Even Salt ana maelezo mazuri kuliko uyo mfanya biashara.
Hivi kuna namna yoyote kinaongeza matumizi ya umeme???
Uko wapi....😹
Achana na mimi, nimekula chips hadi Christmas??? Dar wote makatili tu.Uko wapi....😹
Kinaongeza matumizi kwenye main meter.Matumizi baada ya kukifunga yanapanda.Hivi kuna namna yoyote kinaongeza matumizi ya umeme???
Wait....mie natumia main, halafu hicho nimewaachia wapangaji wanakishea watu watatu, ila wanalalamika matumizi yameongezeka.Kinaongeza matumizi kwenye main meter.Matumizi baada ya kukifunga yanapanda.
Ni Cha kijinga sana .
Asante sana, unafaa kuwa fundi umemeKinauzwa laki na 20 hii bei ya kariakoo
Uko wapi....nikufate tule minyama na mibiaAchana na mimi, nimekula chips hadi Christmas??? Dar wote makatili tu.
Ndio hicho hicho cha NV powerUnacho Cha kampuni Gani mi nina uzoefu na NV Power Solutions
Njoo inbox nikulambishe asaliNdio hicho hicho cha NV power
Asante sana kwa swali lako. Submita unatumia umeme kulingana pesa yako. Na ukimaliza umeme wako submita itakukatia Umeme yenyewe more 0757 838927Hizi zinafanyaje kazi? au ndiyo kama hizi hizi zilizopo sokoni ambazo zinafanya counting tu ya matumizi ya umeme?
Wasiliana Nami kwa maelezo zaidi.Unaeleza juu juu mno.
Raha ya hiki ki mita ufunge viwili. Kimoja kwa Ajili yako na kingine kwa Ajili ya wengine. Wakimalize watalala giza wenyewe. Bei ya 110,000. KaribuUlikanunua bei gani mrembo
Ukifunga viwili inaleta tofauti gani? Iwapo kikiwa kimoja mfano room mbili watumie sub meter room mbili watumie mita ya tanesco, italeta tofauti ipi kuongeza sub meter?Raha ya hiki ki mita ufunge viwili. Kimoja kwa Ajili yako na kingine kwa Ajili ya wengine. Wakimalize watalala giza wenyewe. Bei ya 110,000. Karibu
0757 838927