NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,587
- 13,425
Hakuna wakumfananisha nae nasema tena hakuna, hakika mwamba kutoka Tunis kocha wa mpira wanayanga hawana Cha kumdai kwa kazi kubwa anayoipiga ikiambatana na mataji (makombe) yanayorejea mitaa ya jangwani baada ya kupotea kwa muda mrefu.
Katika mchezo wa Singida big stars vs Yanga mwamba kabisa kocha wa mpira Prof. Nabi kafanya kile kile alichokifanya kwenye gemu ya Yanga dhidi ya Dodoma jiji.
Baada ya kuona milango ni migumu Ya Singida bigstars mpaka dakika ya sabini na tisa (79) kocha Nabi anafanya sub ya wachezaji watatu Mayele, musonda na kisinda.
Baada ya dakika tatu, nyavu za singida bigstars zinatikisika mwamba kabisa "Fistoni kalala Mayele" Anaandika bao na kuifanya Yanga itinge fainali ya kombe la shirikisho.
Hakika Prof Nabi ni "big brain coacher" hana mpinzani katika ligi yetu hii ya Nbcpl.
Katika mchezo wa Singida big stars vs Yanga mwamba kabisa kocha wa mpira Prof. Nabi kafanya kile kile alichokifanya kwenye gemu ya Yanga dhidi ya Dodoma jiji.
Baada ya kuona milango ni migumu Ya Singida bigstars mpaka dakika ya sabini na tisa (79) kocha Nabi anafanya sub ya wachezaji watatu Mayele, musonda na kisinda.
Baada ya dakika tatu, nyavu za singida bigstars zinatikisika mwamba kabisa "Fistoni kalala Mayele" Anaandika bao na kuifanya Yanga itinge fainali ya kombe la shirikisho.
Hakika Prof Nabi ni "big brain coacher" hana mpinzani katika ligi yetu hii ya Nbcpl.