Sudan: Ghala la WFP lavamiwa na watu wenye silaha

Sudan: Ghala la WFP lavamiwa na watu wenye silaha

beth

JF-Expert Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
3,880
Reaction score
6,368
Watu wenye silaha wamepora ghala la Shirika la Mpango wa Chakula Duniani (WFP) lililokuwa na Tani 1,900 za chakula cha msaada huko Darfur

Darfur imeshuhudia ongezeko la mapigano tangu Oktoba kutokana na migogoro ya ardhi, mifugo na upatikanaji wa maji na malisho. Takriban watu 250 wameripotiwa kuuawa katika mapigano kati ya wakulima na wafugaji miezi ya hivi karibuni

Kwa mujibu wa Umoja wa Mataifa, Raia wapatao Milioni 14 wa Sudan watahitaji msaada wa kibinadamu mwaka 2022

=======

Sudanese gunmen have looted a World Food Programme (WFP) warehouse containing some 1,900 tonnes of food aid in Darfur amid a surge of violence in the troubled western region, officials said Wednesday.

Residents of El-Fasher, the capital of North Darfur state, reported heavy shooting near the warehouse

"We heard intense gunfire," Mohamed Salem told AFP.


A WFP official said they were "conducting an audit into what was stolen from the warehouse, which contain some 1,900 tonnes of food products".

Darfur has seen a spike in conflict since October triggered by disputes over land, livestock and access to water and grazing, with some 250 people reported killed in fighting between herders and farmers in recent months.

Tens of thousands have been forced to flee their homes, according to the International Organisation for Migration (IOM).

Sudan is also reeling from political turbulence in the wake of a coup led military chief General Abdel Fattah al-Burhan on October 25.

Last week, UN Secretary-General Antonio Guterres condemned looting and violence near a former UN logistics base in El-Fasher that had been recently handed over to the local authorities.

Humanitarian aid

Over 14 million people, a third of Sudan's population, will need humanitarian aid next year, according to the UN Office for the Coordination of Humanitarian Affairs, the highest level for a decade

Darfur was ravaged by a civil war that erupted in 2003, pitting ethnic minority rebels who complained of discrimination against the Arab-dominated government.
More than 300,000 people died and 2.5 million were displaced during the conflict, according to the UN

While the main conflict in Darfur has subsided, with a peace deal struck with key rebel groups last year, the arid region has remained awash with weapons and violence often erupts

A joint UN and African Union mission, UNAMID, ended 13 years of peacekeeping operations last December
 
Wazungu waliwaambia nyie waswahili jitengeni na waarabu wanawanyonya mtakuwa na maisha bora.Walivojitenga sasa wakapewa silaha haya uaneni kwanza.

Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app
 
Inasikitisha sana...

Mpaka hizo tani zote zinachukuliwa vikosi vyao vinakua wapi? Nonsense...
 
Hii looting haina tofauti sana na looting zingine za kila siku zinazofanywa na viongozi wa Kiafrika.
 
Uwoga unawasumbua sana wazungu,
Hivi kwanini musiwaachie waafrika wenyewe waendeshe mambo yao?
Kwani lazima muwapangie viongozi wa kutawala?
Hatutaki vibaraka tena
 
Back
Top Bottom