Sudan kinachoendelea

fired

Senior Member
Joined
Apr 4, 2021
Posts
151
Reaction score
311
Your browser is not able to display this video.
 
Kinatengenezwa kisasi cha hatari hapo....wasipokuwa makini nchi itakuwa kama somalia. Haitawaliki. Na jamaa wana gene za kufanana.
 
Then hao wanaouwana hivyo utasikia Ushoga ni dhambi😅😅😅
wewe bwabwa acha kutuletea mambo ya ki shoga humu... naona kila sehemu inayozungumzia vita mnachomekea mambo ya kishoga wakati ni vitu viwili tofauti kabisa....
 
wewe bwabwa acha kutuletea mambo ya ki shoga humu... naona kila sehemu inayozungumzia vita mnachomekea mambo ya kishoga wakati ni vitu viwili tofauti kabisa....
Nimewaza yani vita na dume kupigwa pipe kunaingilianaje.

Hilo kweli punga.
 
Ila inatisha kuondoa ugai wa binadamu. Sijui Kwa nini nimeangalia hii video.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…