Sudan: Questions Raised Over Tanzanian Peacekeepers in Darfur - allAfrica.com

braza, usipoteze muda kushindana na sisi. huko sudan hao tunaowapeleka asilimia kubwa ni askari polisi hawa wa kawaida, sio wanajeshi. wanajeshi ni wale tuliopeleka congo. upo hapo. hata hivyo, askari polisi wa tz ni sawa na askari jeshi wa kenya, hivyo hatutakiwi kujibizana ktk hili, liko wazi.
 
Kwani kuna shida gani akizipost?...si ni zake?...ewe zumbekuku!...weye ni takataka tu hamna anayeitaj heshima zako...unajikweza utadhani Bill Gates, Una uhuru wa kuzipost zako pia, ama ni wale sura kama kiatu?😀😀
Machungu.
 
Wale madogo wa Amboni ilshabaki story bro, the no more untold story, kizazi kilifutiliwa mbali.
 
Unajua dogo kaweka nini matokoni arafu uzito wa dogo ni mdogo sasa cheki jwtz mgongo upowazi na nimtu mzima na mwingine mwenye uzito wa kilo kama 100 juu yake nadhani ulikimbia shule
 
kuna tetesi jwtz wanajaribu kuupeleka ule ubakaji wao waliozoea kuwafanyia banya mulenge huko congo ila hali si nzuri huko sudani imebidi waanze kuingiliana wao kwa wao! kwa kweli jwtz ni aibu africa yetu
Are you really sane?????????
 
Unajua dogo kaweka nini matokoni arafu uzito wa dogo ni mdogo sasa cheki jwtz mgongo upowazi na nimtu mzima na mwingine mwenye uzito wa kilo kama 100 juu yake nadhani ulikimbia shule

misumari ya JWTZ unajuaje sio ya plastiki~~~~~~~~~~~~~😱
 

Peace keepers wana limitation ya silaha. TZ kama sikosei haipeleki JWTZ tu kule Darfur. Kwa hiyo siajabu matukio haya yasihusike na vikosi vya TPDF.

Nikikosea nisahiishwe.
 
Ulimbukeni wa wabongo haunakifani! Hivi hawaelewi tufauti za kivita! Hawa wanajua lolote juu ya Gorilla warfare kweli??
Huna exposure acha mada hii wenzio wanachambua we unaongea kishabiki, soma tu sio lazima uandike, shame on you,,,,,
 
Najua Wakenya inawauma sana kutimuliwa kwenye huu mpango wa umoja wa mataifa wa UNAMID ndio hivyo mtulie acheni wanaokubalika kimataifa wafanye kazi na wavute madollar yao. Acheni chokochoko
 
Sasa si muendelee kushindana nao hao AL shabab mtie akili,,,,, mlishindwa mbinu za medani kubadilishana vikosi uwanja wa vita mkapigwa deliberate attack na mgambo hao bado mna ujasiri wa kujigamba kweli nyie shida kubwa,. Hao Burundi na Uganda hawajafanyiwa huo ujinga na wapo kimya ila nyie tu majigambo tu, mkiambiwa ukweli eti ni magaidi wa kujitoa mhanga sasa nani asiejua? Kaeni kimya mana mtakumbusha na hiyo vamizi la Westgate mlivowadharau police force hafu nyie KDF ndio mkaharibu ops nzima,,,,,, mnatia aibu badala ya kuonekana mna nguvu East Africa nzima mko nyuma....... Kaeni kimya mambo yaende.....
 
Unajua dogo kaweka nini matokoni arafu uzito wa dogo ni mdogo sasa cheki jwtz mgongo upowazi na nimtu mzima na mwingine mwenye uzito wa kilo kama 100 juu yake nadhani ulikimbia shule

Hizi ni mbwembwe za kawaida kitaa, vinafanywa na vijana wa mitaani.
Vita vya kisasa vinataka akili sio kupasua pasua matofali na kulalia misumali. Aljamuhedin wa kidini wakija kujilipua karibu nawe hutakua na fursa ya kuonyesha mbwembwe hizo.



 
Hizi ni mbwembwe za kawaida kitaa, vinafanywa na vijana wa mitaani.
Vita vya kisasa vinataka akili sio kupasua pasua matofali na kulalia misumali. Aljamuhedin wa kidini wakija kujilipua karibu nawe hutakua na fursa ya kuonyesha mbwembwe hizo.

Dah MK254 vipi? Unafikiri mwanajeshi akikamatwa mateka vitani analetewa chai na kupewa kitanda kizuri alale, shuruba kama hiyo ya kukalia misomari na kung'olewa kucha na meno bila ganzi vinatumika. Tena na wale walio mteka hawafikirii mara mbili, wanang'owa tuu. Kawaulize KDF kama na wao hawafanyi mazoezi kama hayo.
 
Mzani/ mizani ya wiki na Azam ni ya kipuuzi kabisa kwa maana ya kwa ili ujue kupi kuna uzito lazima uweke vitu vyote viwili ili uvilinganishe. Nimemsikia Dr. na mtataro. wachawi wakubwa wa maendeleo ya nchi hii. Halafu Dr.? Kumbe ukisoma halafu ujiigiza kweyu siasa unaku mjinga!!!!
 
Hawa wakenya humu JF nimegundua hawana exposure. Ni malimbukeni fulani. Ninafurahi kuona watanzania wanawashushua hadi aibu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…