Sudi brown acha kutengeneza pesa kwa kudhalilisha watu

Mkuu tueleweshane. hayo mambo hatuyajui wengi
XXL ni kipindi maarufu cha Burudani hapa Nyumbani ambacho huruka hewani kuanzia saa 7 mchana mpaka
saa 10 Jioni. XXL inasimama badala ya Extra Extra Large na huyu soud Brown ni moja kati ya Producers wa Hicho kipindi. Humo ndani ya XXL utapata habari za mastar hapa nyumbani na Nje, Utasikiliza ngoma kali hapa nyumbani na Majuuu, Biashara, na mzaga kibao yanayo wahusu vijana.

DONE!
 
Ahsante mkuu
 
[emoji1] [emoji1] [emoji1] naamini Ila mie sikumbuki Mara ya mwisho kusikiliza TBC lini...sionagi wanachotangaza
Tbc Taifa ni kwa ajli yetu sisi watu wazima nyie vijana endeleeni na XXL zenu hizo. TBC Taifa ni zaidi ya Elimu
 
Tbc Taifa ni kwa ajli yetu sisi watu wazima nyie vijana endeleeni na XXL zenu hizo. TBC Taifa ni zaidi ya Elimu
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji85] [emoji85] [emoji85] sawa bamdogo!!
 
Na hili povu lako ngoja tuangalie utaratbu wa kuliweka hewani
 
Huyo jamaa nahisi atakuwa choko,,,,binafsi nilichukiaga sana interview alomfanyia marehemu komba
 
Jamani mjini kuishi kunahitaji akili na sio nguvu.Mwacheni kijana atengeneze pesa kupitia shilawadu.Ila siku akipakatwa bac itakua shauri yake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…