Suge Knight aanguka mahakamani

Suge Knight aanguka mahakamani

Nyani Ngabu

Platinum Member
Joined
May 15, 2006
Posts
94,296
Reaction score
122,540
Leo baada ya kumsikia jaji akiitaja dhamana yake ambayo ni dola za Kimarekani milioni 25.

suge-knight-collapses-550x373.jpg


Naona mwisho wa huyu jamaa, ambaye ni mwazilishi mwenza wa Death Row Records, umekaribia sasa.

Manake ukijumlisha hii kesi ya mauaji inayomkabili sasa hivi pamoja na uzorotaji wa hali yake ya kiafya, sitashangaa kabisa kama tukisikia amefia jela kabla ya huu mwaka kuisha.
 
watu wengi wanamuombea mabaya, jamaa anachukiwa sanaa, pressure +mawazo vitammaliza
 
Hivi mbona sisikii weupe wakiwa na makesi ya mtindo huu huko amerika?
 
The brother can't keep his head up......ha ha aaa. No more thug life, dadeki.
 
Every court appearance, mshikaji anakimbizwa hospital......usicheze na shimo la tewa.
 
Mkuu fuatilia historia ya suge ndo utajua kama kweli alipata hela yake haraka au determination za kupata hela kwa njia halali/haramu ndo zimemfikisha hapo mkuu
Tatizo kubwa hapa hapa ni kushindwa kuunganisha pesa hiyo na akili zao

Akina Michael Jordan na Magic Johnson waliunganisha pesa zao na akili zao wakati huyu na (unfortunately) Michael Jackson hawakufanya hivyo. I may be wrong!
 
Apotee tu! Kila nikifikiria kumkubali, ndio napata mawazo ya kumkataa
 
Tatizo kubwa hapa hapa ni kushindwa kuunganisha pesa hiyo na akili zao

Akina Michael Jordan na Magic Johnson waliunganisha pesa zao na akili zao wakati huyu na (unfortunately) Michael Jackson hawakufanya hivyo. I may be wrong!

Hapo sawa mkuu ndo mana Michael Jordan kawa mwanamichezo wa kwanza duniani kuingia kwel list ya mabilionea.thumb up
 
Ningependa kujua matukio yake kama mawili matatu hivi yaliyofanya watu wanchukie!!
Au aonekane mbabe.
 
mbona marekani dhamana inakua kubwa sana wakati hapa bongo kina child benz wanatoa laki tisa wanatoka
 
Ningependa kujua matukio yake kama mawili matatu hivi yaliyofanya watu wanchukie!!
Au aonekane mbabe.

huyu jamaa ni mbwa sana sasa hvi kapunguza Wasanii wa Marekani hamna tena ma beef kama kipindi akiwa hai 2pac! huyu suge akiwa na beef na wew usipo mwai kumuuwa lazma atakuuwa tu! nawasiwasi kuwa jamaa walisha mchoma sichano ili wamuuwe!
 
Ningependa kujua matukio yake kama mawili matatu hivi yaliyofanya watu wanchukie!!
Au aonekane mbabe.

Yeye na wahuni wenzake walimteka marehemu Easy E nakwenda kumninginiza juu ya ghorofa wakimtishia kifo au afute mkataba na Dr Dre katika label yake..ili Dre aweze kusign Deathrow records.
 
Back
Top Bottom