Bro...umenibadilisha mtazamo sana. Thanx.
hiyo ni code of conduct ya gang member yoyote,never cooperate with a cop
hakuna ushirikiano kwenye mambo hayo ya mauaji bro niamini,Frank Lucas hakushirikiana na cops,ile iliwekwa kwenye movie tu kuleta utamu alieshirikiana na cops anaitwa nicky barnes,na ilikua sio kwenye mauaji ....hii nitafute nikueleweshe mzee...Inategemea bro, wanasema hata Cops ni gangstas who are in uniforms. Pia na akili yako unaco-operate nao kivipi. Watu kama Frank Lucas, kama umeangalia American Gangsta alitoa ushirikiano kwa hao jamaa na kuepuka adhabu kubwa zaidi.
Kuna jamaa anaitwa Dudus, alikuwa King flani Jamaica. Alikamatwa na akatoa ushirikiano, na akaepuka adhabu kubwa pia.
Sometimes Gangstas wana-deal na Cops, Big Suge mwenyewe alikuwa na couple of cops on Death Row's payroll, na alikuwa anawauza wapinzani wake kwenye deals chafu, in return issues zake baadhi zinafumbiwa macho. Bodyguards wake wengi walikuwa ex-cops. Cha muhimu ni survival tu
sijui kwann sitakaa niamini kuhusu suge bro,ila kwa taarifa yako ni hv,Big Frank alijua wazi kifo cha Pac ilikuwa amri kutoka kwa 'wanaoandika scripts za hii dunia'. Hakutaka kuingia ndani zaidi kwa sababu kama jamaa waliweza kumpoteza Pac, wasingesita kumpoteza mtu kama yeye. Pia Big Frank met Pac kupitia Big Suge, so he owed his loyalty to Suge in a way. Pia Suge saved Frank's life that shooting night kwa kumwambia asi-ride na Pac kwenye gari moja, which he found it strange ila grateful.
Suge pamoja na ubabe wake, alikuwa anamuheshimu na kumpenda Pac, hakuwai kumfanyia upuuzi.
Suge part aliyocheza katika kifo cha Pac, ni kumfatisha Pac script ya kifo chake. Kuanzia kumzingua Orlando Anderson pale Casino, ambae nae alikuwa anaujua mchezo wote. Hii script lengo lilikuwa ni kuwafanya watu ambao wata-doubt kifo cha Pac kusababishwa na beef za kimuziki, basi wafikirie Crips ambao Orlando alikuwa member wamelipa kisasi, since Suge alikuwa Pirus/Bloods, and Pac rolled with him.
Kwanini Suge alikubali huo mchezo? 2 reasons, Pac alikuwa anaondoka DR baada ya mkataba wake kuisha, Suge hakuwa tayari kumpoteza. Sababu ya pili, Pac ilikuwa lazima afe whether Suge angekubali or not, Pac's mouth and heart were something 'they' were never gonna stand. So Suge akaona bora awe down afaidike, cos japo hakupenda ila hakuna ambacho angeweza kufanya kuzuia.
Inategemea bro, wanasema hata Cops ni gangstas who are in uniforms. Pia na akili yako unaco-operate nao kivipi. Watu kama Frank Lucas, kama umeangalia American Gangsta alitoa ushirikiano kwa hao jamaa na kuepuka adhabu kubwa zaidi.
Kuna jamaa anaitwa Dudus, alikuwa King flani Jamaica. Alikamatwa na akatoa ushirikiano, na akaepuka adhabu kubwa pia.
Sometimes Gangstas wana-deal na Cops, Big Suge mwenyewe alikuwa na couple of cops on Death Row's payroll, na alikuwa anawauza wapinzani wake kwenye deals chafu, in return issues zake baadhi zinafumbiwa macho. Bodyguards wake wengi walikuwa ex-cops. Cha muhimu ni survival tu
1) Learn English.
2) If I'm dumb then you are dumber!
3) I'd rather be dumb than a dick rider (of which you are).
4) Go kick rocks and die.
Hakuna kitu kama campaign against Rap music eti kwa sababu inachochea violence na vitu kama hivyo, hiyo ni kutupumbaisha. If anything, 'wenye maamuzi ya hii dunia' wanafurahia na ku-support those kind of rappers.
Angalia support wanayopata watu wanaoimba upumbavu kila siku, kila Lil wayne, Rick Ross, Minaj, na wengine kibao kwenye media, halafu angalia support wanayopata watu kama Talib, Mos Def, Common, Asheru na wengine wanaojaribu kuwaamsha waliolala na kuwasihi walikwisha amka waendelee kuwa macho.
Hao jamaa 'wenye dunia' wanataka tuendelee kuwa wapumbavu ili iwe kazi rahisi kutu-control, na wanajua mchango wa rappers katika hilo. Na wana-improvise daily, saivi tunafundishwa kukubali ushoga ndani ya rap through the likes of Young Thug, baada ya lil wayne na drake kuanzisha hizo harakati. Ushoga unakuja kupunguza population, so inakuwa rahisi kuwa monitored and controlled. Africa tunawekewa vikwazo na mashinikizo chungu nzima tukubali hii kitu.
Kifupi, hao jamaa wanaopanga mchezo wako smart. Wanacheza na akili zetu kwa kila namna, wanawatengeneza heroes kama kina Lupita ili wasaidie kupitisha ideas zao kiurahisi huko badae.
1.I will not learn english
2.you are still a dumb hater (since you agree with me that you are dumb)
3.you are dumb and full of fear
unaonekana muoga na mwenye maneno mengi mno,mtu kama suge kwako unaona hata sio binadamu ni lidubwasha
je ungekutana live na banjoo,kijana wa nyari si ungejinyea?
1.I will not learn english
2.you are still a dumb hater (since you agree with me that you are dumb)
3.you are dumb and full of fear
unaonekana muoga na mwenye maneno mengi mno,
mtu kama suge kwako unaona hata sio binadamu ni lidubwasha
je ungekutana live na banjoo,kijana wa nyari si ungejinyea?
hakuna ushirikiano kwenye mambo hayo ya mauaji bro niamini,Frank Lucas hakushirikiana na cops,ile iliwekwa kwenye movie tu kuleta utamu alieshirikiana na cops anaitwa nicky barnes,na ilikua sio kwenye mauaji ....hii nitafute nikueleweshe mzee...
sijui kwann sitakaa niamini kuhusu suge bro,ila kwa taarifa yako ni hv,
1.siku ya shooting ya pac,aliemwambia big frank asiride na pac ni pac mwenyewe,na sababu ni kuwa outlawz walikua wamelewa mno,so aliambiwa awaendeshe.
2.Orlando alikua ameshikiliwa na walinzi wa MGM,sio kwamba alikua anahang tu,aliemwambia pac kuhusu orlando ni mmoja wa wapambe wa suge ila sio suge.
3.orlando kabla ya kifo chake,aliwahi mara kadhaa kutamba kuwa amemuua makaveli
Gangsta ni mwanachama wa kikundi chochote kinachoishi kwa miiko yao wenyewe, na wanaishi kwa kutegemea uhalifu.Hivi nini maana hasa ya Gangstar? Na ina impact gani kwenye Hiphop?
Basi ukiona hvyo we bado bwana mdogo sanaaa hapa town....Wapo sanaa, there are people bongo hii hii who can't be touched...Ongea na watu vizuri. Tena wengine ni watu wazima huwez wadhani kabisa filthy rich and very calm.
nani sasa? dre shoga? au kurupt? sio ndio yupo na dre DPG? nate dog labda lakini ndio alishatangulia mbele ya haki
outlawz hawako vizuri kiivyo,
Mhhh yan me naona chenga tu ata sielewi kitu.....ngoja nipite tuuuuu.....
Gangsta ni mwanachama wa kikundi chochote kinachoishi kwa miiko yao wenyewe, na wanaishi kwa kutegemea uhalifu.
Ina impact kubwa kwenye rap game kwa sababu rappers wengi wana ufinyu wa akili kama wengi wa sisi mashabiki wao, na ni waongo na waigizaji pia.
Moja ya malengo makubwa ya Hip-Hop wakati inaanza ilikuwa na nia kuwaepusha vijana kujihusisha na mambo ya kihalifu. Ila wenye dunia yao wakageuza mchezo, wakaanza ku-support rappers waliosifia uhalifu, na waliokuwa na ushawishi katika jamii. Biggie Smallz ni mfano mzuri. Jay-Z, Lil Wayne
sawa mkuu, ila mbona Pac hujamtaja?