Pre GE2025 Sugu aendelea kusafisha Mabaki ya CCM Mbeya Mjini, Leo ni zamu ya Kata ya Isyesye

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Mnatia huruma sana wewe na huyo Baby Yako Sugu ,sura yake tuu inaonesha amekata tamaa hawezi maliza pambano 🀣🀣

Mwenzie anasimika maendeleo yeye anauza empty words πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

View: https://www.instagram.com/p/DAsxEMdNSzH/?igsh=MjViZjF1OGc1cjNh
Miaka 10 alisahau nini huko huyo Babu Yako?πŸ‘‡πŸ‘‡

View: https://www.instagram.com/p/DAyx01hNf1x/?igsh=MWZhbzdneTV5Njd2YQ==
 
Rushwa za Uchaguzi zitaliwa tu na watu wataamua
 
Hiyo Hela ni ya Samia ametoa mfukoni kwake? Spika eti ana PhD tena ya sheria! Kilaza mkubwa na chawa sana!
 
 
Huyu ajuza na mshirikina lazima akimbie Mbeya
 
jipeni matumaini wapinzani wakudumu wasindikizaji katika siasa tulia mitano tena
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…