Mkalukungone mwamba
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 862
- 1,755
Baada ya kimya cha muda kidogo Sugu ameingia mtaani kupiga kampeni ya kimya kimya huko vijijini
=====================
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Kanda ya Nyasa, Joseph Mbilinyi (Sugu) akiwa na wananchi wa Kata ya Ilungu katika Jimbo la Mbeya Vijijini baada ya kuzungumza nao leo Ijumaa, Februari 7, 2025.
=====================
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Kanda ya Nyasa, Joseph Mbilinyi (Sugu) akiwa na wananchi wa Kata ya Ilungu katika Jimbo la Mbeya Vijijini baada ya kuzungumza nao leo Ijumaa, Februari 7, 2025.