Sugu aibuka upya, atangaza kuendelea bifu na Ruge, Clouds

Wamepotelea wp na watarud tena lini wale vinega?
 
tatizo sugu hana elimu. Yetu macho.

kheri yako wewe na ruge pamoja na mwenyekiti wenu wenye dr dr dr dr lakini akiwafatilia hata mwehu atajiuliza kama hata la saba mlimaliza kweli..
 

sugu ni mwanaharakati si mwanasiasa bro let him do his part viva sugu viva mtoto wa mbilinyi
 
labda huu ugomvi watu wanautizama kimtazamo mwingine lakini issue hapa ni its an conflict of interest btn sugu(upande wa wasanii ambao walivuma kitambo na leo hawapo au kusikika tena kutokana na kutokufuata ile misingi ambayo clouds imeiweka) na ruge
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…