Sugu ameonesha ulimbukeni mkubwa sana kusema kuwa ameweka rekodi ya Dunia ya Muandamanaji aliyevaa vito vya thamani zaidi katika maandamano

..Ndugai alikuwa hatendi haki kwa wabunge wa upinzani.

..Na chanzo cha Sugu kutukana ni uonevu aliofanyiwa na uongozi wa bunge.

..Unachofanya wewe ni kukemea reaction ya Sugu bila kuangalia mazingira yaliyomsukuma kufanya alichokifanya.
Kwa ufupi ni kuwa Sugu hana akili kabisa.
 
Kikubwa acheni dharau kwa watanzania.hao ndio waliowafikisheni hapo mlipo.
Kati ya Sugu na yule ambaye anatazama watu wanaogawana mabilion kifisadi huku akiwabariki kwa kusemama kila mtu ale kwa urefu wa kamba yake ni nani amedharau wananchi. Sometimes ficha upumbavu wako basi, eti katiba si ni kijitabu tu!
 
Kwenda zako huko.ndio maana nikasema huyo sugu ni mhuni mhuni tu .ndio maana Mbeya alifurushwa na Makopo yake maana jiji haliwezi kuongozwa na mhuni

..Sugu hana madhara kwa wananchi.

..Sugu hajadhulumu, hajaiba mali ya umma, wala kumuumiza mtu yeyote.
 

Teh teh tehee
Ushamba wa wtu wa mbeya.
Yeye sugu pia ni mshamba. Ndiyo maana anajisifia kuwa kajenga ghorofa.
 
Kati ya Sugu na yule ambaye anatazama watu wanaogawana mabilion kifisadi huku akiwabariki kwa kusemama kila mtu ale kwa urefu wa kamba yake ni nani amedharau wananchi. Sometimes ficha upumbavu wako basi, eti katiba si ni kijitabu tu!
Ndio katiba ni kijitabu tu. Kwani wewe ukiangalia unaona katiba ni mlima au handaki
 
Hupaswi kumzungumzia kwa lolote sababu anakuzidi kwa kila nyanja
Ni kweli ananizidi maana kwa kuonyesha hicho kidole akiwa bungeni ni ujasiri ambao ni kichaa au mwendawazimu pekee anayeweza kufanya hivyo huku akiwa kajifukiza moshi wa bangi kichwani mwake ,lakini siyo kwa mtu mwenye akili Timamu kama mimi.kwa uhuni huo nakiri kuwa kanizidi na wala sina sababu ya kushindana naye.
 
Serikal yko yenyew inataka KATIBA MPYA. Ambayo itaendena na Utandawazi pamoja na Science na Technology
 
Ile saa ya bibi bei gani vile?
 
Naunga mkono hoja
 
Once an artist always an artist.

Sugu, Mbowe Wana asili ya usanii! Hawewezi kuacha asili hii
 
"Kijana pambana kwa ajili ya familia yako na Kizazi chako,Acha UJINGA,UJUHA,UZWAZWA"

Si ndio anailisha familia yake kupitia huo uchawa mkuu[emoji2][emoji2][emoji2]
 
Labda ali zungumzia kwamba alivaa Vito vya thamani zaidi

na hakuna kibaka Wala maskini mwenye njaa Kali aliye jaribu kutaka kumpola Vito hivyo

Hivyo kwa sugu Jambo Kama Hilo

Lili kuwa ishara kwake kwamba anakubarika Sana na Wana mbeya na kuji haki kikishia ulinzi awapo mbeya

kwani ana kubalika na magenge yote ya hapo mbeya

Lakini Kama kiongozi anaye ongoza maskini na matajiri

hakustahiri kuongea vile au kufanya vile

kwani ni kuji onyesha kwamba yeye ni mbinafsi/mtu asiye jari wengine hasa wake anao waongoza.

Badara yake bwana mbilinyi...

alitakiwa kujisifu kwa kuwachukua angarau watoto wa mitaani hata 20.

na kuwasaidia kwa kuwa peleka japo hata veta

Waka somee fani frani Zitakazo wasaidia kwa Maisha yao ya baadae

ukizingatia sugu mwenyewe katokea huko.

Lakini pia.

angejisifu angalau
kwa kutembelea vituo vya watoto yatima/ wazee wetu wnao ishi kwenye mazingila magumu,

kina mama wajane,walemavu,
Na makundi mengine Yana hitaji misaada
hivyo ndivyo viongozi wanavyo paswa kuwa

Hakika alilo lifanya bwana mbilinyi si la kuiga kwani halimjengi mtu kwa vyovyote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…