Mchaka Mchaka
JF-Expert Member
- Jul 20, 2010
- 4,517
- 1,407
jinaa lako 2 lina onyeshaa mtazamo wako...mbonaa maduu walikuwepo,au unataka maduu wasio maliza chips na soda,alafu kama ulifata maduu umechemkaa pale wale ni vinegaaa ma men na maduu ni ngumu nyeusiii muuza nyagoooo umenisomaa arifu,no hard feeling lakini...show za arusha nna bahati nazo mbaya!wanangu arsenal baada ya kuchezea kichapo nikaseme nikakeshe tripple A leo nirudi kwetu!!!dah ilinichukua dakika kumi tu mule ndani siyo dharau ila masela watupu japo mimi siyo tozi lakini nilijiona tozi!advertise ilianzia getini!kiingilio buku 5 nikakutana na msela anataka nimuongezee buku 4 kwa maana hiyo yeye ana buku tu!humo ndani sasa!watu wachache halafu hamna hata warembo!masela watupu