bongo fleva mmoja kwenye urais hapa tz ametosha hatuhitaji mwingine tena
Naona kichaa chake sasa kimemfika pabaya. Huyu Sugu ni wa kufungwa kamba, pimbi mkubwa ametapeli wana Mbeya amataka akajaribu na kutapeli wana TZ wote
Naona kichaa chake sasa kimemfika pabaya. Huyu Sugu ni wa kufungwa kamba, pimbi mkubwa ametapeli wana Mbeya amataka akajaribu na kutapeli wana TZ wote
Naona kichaa chake sasa kimemfika pabaya. Huyu Sugu ni wa kufungwa kamba, pimbi mkubwa ametapeli wana Mbeya amataka akajaribu na kutapeli wana TZ wote
I'm very sure wewe siyo mwanambeya.
amechanganyikiwa nn, mbona komba hajatangaza nia? urais una wenyewe.
naona kichaa chake sasa kimemfika pabaya. Huyu sugu ni wa kufungwa kamba, pimbi mkubwa ametapeli wana mbeya amataka akajaribu na kutapeli wana tz wote
bongo fleva mmoja kwenye urais hapa tz ametosha hatuhitaji mwingine tena