johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Amesema Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Nyasa mh Joseph Mbilinyi aka Sugu kuwa alitekwa na Polisi na kutelekezwa jijini DSM ambako siyo nyumbani kwake tena bila kutibiwa
Pia soma:
www.jamiiforums.com
Sugu amelalamika Ukurasani X
My take; Sugu atofautishe Kukamatwa na Kutekwa.
Nawatakia Dominica Njema. 😄😄
Pia soma:
Kuelekea 2025 - CHADEMA: Tutafungua kesi dhidi ya Sisty Nyahoza na Awadh Haji juu ya kukamatwa na kupigwa kwa viongozi na wanachama wa CHADEMA
Baada ya Viongozi na wanachama wa CHADEMA kukamatwa na Jeshi la Polisi Agosti 11, 2024 walipokuwa wakielekea Jijini Mbeya kwenye kongamano la Vijana Duniani na kisha kuanza kuachiwa kuanzia 12 Agosti 2024 kwa kile polisi walichodai kuwa walitaka kuharibu amani ya nchi...
Sugu amelalamika Ukurasani X
My take; Sugu atofautishe Kukamatwa na Kutekwa.
Nawatakia Dominica Njema. 😄😄