Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Greater Thinker na story ya kubumba tupa kule mwatujazia thread tu hapa...
DMX & FABOLOUS wanakuja kwenye show ipi amabyo Sugu anawaambia wasije?
tupoe source ya hii story... otherwise umetumwa na Ruge..
take care HARAKATI ZIMEANZA NA ANT-VIRUS ndo mpango mzima - Vinega wapo full haina kuremba
Mbunge mzima anatoa nyimbo za matusi anajiita mwanaharakati. Uanahakati gani wa kutukana.
pambafu!! zako we mzee
Safi sana Sugu mwambie huyo DMx na mbinua Midomo Fab wewe GT acha ungese mbona kingeleza kipo safi au andika wewe basi tuone,usikatishe watu morale kwa pumba zako aluta continua atuwahitaji hao kina DMX wala unga wala wabenua midomo kina FAB tunataka vinega wascan viruses wote wanaoua mziki wa bongo
how far ar u sure ni kidhungu chake?au umbea tucheki kidhungu cha mbunge hcho..hata mtoto wa form I ataongea kingereza kzur kuliko yeye
hiyo tosha kabisa kuonyesha akili za wana CDM zilivyo,wote na viongozi wao ni sawa tu baba mmoja,matusi matusi tu,hovyoo kwelipambafu!! zako we mzee
kama akina DMX wanakuja kweli,nitaamini huyo ruge anawakandamiza kweli wananchi
sugu hana vision kama kiongozi yupo yupo tu sitashangaa kama hatachaguliwa tena second term.....
nataka kujua akina adili wana ishu gani mjini,nahisi njaa tu zinawasumbua kufuata mkumbo na kuingia kwenye beef lisilo na kichwa wala miguu la sugu na ruge....
sugu fa.la
ruge fa.la
adili fa.la
DMX fa.la
A world of caution to DmX & FABOLOUS...
Look dog,here's real deal we are local artist called 'antivirus' in a movement against local promoters bringing you to Tanzania.
The antivirus movement was created by some of Tanzanians influental hiphop artist..
Who many are your fans and respect you as an artist.
The purpose of the movement is to fight against virus of exploitation that is being perprated by the promoters who are bringing you to Tanzania in many segment of the music industry.
The movement has begun it's treatment so be warned!
Now the issue here is not to alarm you but to inform you that your not really welcome to Tanzania under the circumstances..it's been an uphill battle and we have even lost some of our friends in along the way.
For people who respect you and admire for what you do and what you have been through.
It will be kindly appriciated if you sit down and talk to your people we dont want you here till things have been changed competely in Tanzania music...ONE!
kutoka kwny ukurasa wa fb wa vinega ni notes yao..yoo
Duh unavuta hadi kwa Ruge umetisha zile posho za Nepi zimeisha, endeleeni ku- edit kama mlivyofanya kale show kenu ka mbeyaHebu angalieni na sikilizeni huu uchafu wa mbunge wa chadema kwenye hii link hapa chini!!
SUGU ANTI VIRUS
Wakuu mimi niko huku Serengeti ntapata wapi streamline ya VINEGA tuwe pamoja?:embarassed2: