Ujinga mtupu, yani utadhani watoto vile wakililia pipi moja uivunje kuigawa wasilie!Jimbo linagawanywa Mkuu. Tulia anapewa la kwake na Sugu naye anapewa la kwake. Hivi ndivyo tunavyoishi Watanzania na mihimili yetu.
Ova
akijibu nistueIPU inatusaidia nini
Mhimili wa Bunge huwa naona kama vile ni unaodeka sana kwa serikali, kwa kuwa serikali nao unaudekeza kwa unautegemea uipitishie mambo yake hata kama hayako sawa.Ujinga mtupu, yani utadhani watoto vile wakililia pipi moja uivunje kuigawa wasilie!
Halafu tutegemee maendeleo? Never kwa akili zetu hizihizi, labda tupewe akili mpya.
Kama una akili timamu huwezi mchagua Sugu.'The IPU Governing Council elects the IPU President for a term of three years. He or she must be a sitting Member of Parliament throughout the term of the presidency'
Leo Tulia Ackson amechaguliwa kuongoza umoja wa mabunge duniani kwa kipindi cha miaka mitatu. Moja ya sifa ya kuendelea kuwa rais wa umoja huo ni kubaki kuwa mbunge kwa kipindi chote cha muhula wake wa miaka mitatu.
Tanzania inatarajiwa kuingia kwenye uchaguzi mkuu miaka miwili ijayo, Tulia atakuwa amebakisha mwaka mmoja kwenye muhula wake wa Urais IPU. Ukiachana na uchaguzi wa 2020, Sugu amekuwa na rekodi nzuri ya matokeo Mbeya mjini huku mwaka 2015 akizoa kura nyingi mpaka kuwa mbunge wa kwanza aliyechaguliwa kwa namba kubwa ya kura Tanzania nzima.
Mwaka huu wa 2023 wawili hao wamekuwa wakirushiana vijembe kila mmoja akitamba kumgaraza mwenzake uchaguzi wa 2025 huku Dkt. Tulia akianza na Sugu kujibu mapigo.
Uchaguzi wa ubunge jimbo la Mbeya Mjini umetiwa ndimu na chumvi! Tusubiri 2025..
Pia, soma=> Dkt. Tulia Ackson ameshinda Urais wa IPU kwa kishindo, apata kura 172 kati ya 303
Hamna kitu kama hicho mbona Ndugai kamvimbia Rais kidogo tu kaondolewa, same to Pandu Ameir Kificho kule zanzibar na Samuel Sitta 2010!! Maspika hawana nguvu hii Tanzania, wao kuendelea kukalia hicho kiti inategemeana na matakwa ya Rais!Jambo la pili spika hawezi kushindwa ubunge hasa spika wa bunge la Tanzania haijawai na haitaruhusiwa kutokea.Sina Mengi ni hayo TU.
Tulia alishajua moto wa sugu na aliyemuweka kwa kura za maruhani ameshadanja ndio akaomba uchaguzi ujao jimbo ligawanywe'The IPU Governing Council elects the IPU President for a term of three years. He or she must be a sitting Member of Parliament throughout the term of the presidency'
Leo Tulia Ackson amechaguliwa kuongoza umoja wa mabunge duniani kwa kipindi cha miaka mitatu. Moja ya sifa ya kuendelea kuwa rais wa umoja huo ni kubaki kuwa mbunge kwa kipindi chote cha muhula wake wa miaka mitatu.
Tanzania inatarajiwa kuingia kwenye uchaguzi mkuu miaka miwili ijayo, Tulia atakuwa amebakisha mwaka mmoja kwenye muhula wake wa Urais IPU. Ukiachana na uchaguzi wa 2020, Sugu amekuwa na rekodi nzuri ya matokeo Mbeya mjini huku mwaka 2015 akizoa kura nyingi mpaka kuwa mbunge wa kwanza aliyechaguliwa kwa namba kubwa ya kura Tanzania nzima.
Mwaka huu wa 2023 wawili hao wamekuwa wakirushiana vijembe kila mmoja akitamba kumgaraza mwenzake uchaguzi wa 2025 huku Dkt. Tulia akianza na Sugu kujibu mapigo.
Uchaguzi wa ubunge jimbo la Mbeya Mjini umetiwa ndimu na chumvi! Tusubiri 2025..
Pia, soma=> Dkt. Tulia Ackson ameshinda Urais wa IPU kwa kishindo, apata kura 172 kati ya 303
Embu wekeni rekodi sawa mbona siku zote tunajua sugu ndio mbunge aliyepata kura nyingi kuliko mbunge yeyote tz?Weka record vizuri mbunge aliyechaguliwa Kwa kura nyingi 2015 ni Gibson Olemaseyeki alikuwa MB wa ARUMERU Magharibi
Ule uchaguzi ulitia fora, kule pemba CCM ilishinda viti vyote kwa mara ya kwanza.Umesahau kwamba Yule Mbunge wa Shinyanga Steven Masele alikua Rais wa Bunge la Africa na alitemwa ubunge Mwaka 2015?
Watu mnasahau mapema sana
π€£π€£π€£ Unamchezea jiweUle uchaguzi ulitia fora, kule pemba CCM ilishinda viti vyote kwa mara ya kwanza.
Watu wa mbeya inatuhusu nini IPU sisi tunamtaka Sugu mambe mengine mtajua wenyewe.'The IPU Governing Council elects the IPU President for a term of three years. He or she must be a sitting Member of Parliament throughout the term of the presidency'
Leo Tulia Ackson amechaguliwa kuongoza umoja wa mabunge duniani kwa kipindi cha miaka mitatu. Moja ya sifa ya kuendelea kuwa rais wa umoja huo ni kubaki kuwa mbunge kwa kipindi chote cha muhula wake wa miaka mitatu.
Tanzania inatarajiwa kuingia kwenye uchaguzi mkuu miaka miwili ijayo, Tulia atakuwa amebakisha mwaka mmoja kwenye muhula wake wa Urais IPU. Ukiachana na uchaguzi wa 2020, Sugu amekuwa na rekodi nzuri ya matokeo Mbeya mjini huku mwaka 2015 akizoa kura nyingi mpaka kuwa mbunge wa kwanza aliyechaguliwa kwa namba kubwa ya kura Tanzania nzima.
Mwaka huu wa 2023 wawili hao wamekuwa wakirushiana vijembe kila mmoja akitamba kumgaraza mwenzake uchaguzi wa 2025 huku Dkt. Tulia akianza na Sugu kujibu mapigo.
Uchaguzi wa ubunge jimbo la Mbeya Mjini umetiwa ndimu na chumvi! Tusubiri 2025..
Pia, soma=> Dkt. Tulia Ackson ameshinda Urais wa IPU kwa kishindo, apata kura 172 kati ya 303
'The IPU Governing Council elects the IPU President for a term of three years. He or she must be a sitting Member of Parliament throughout the term of the presidency'
Leo Tulia Ackson amechaguliwa kuongoza umoja wa mabunge duniani kwa kipindi cha miaka mitatu. Moja ya sifa ya kuendelea kuwa rais wa umoja huo ni kubaki kuwa mbunge kwa kipindi chote cha muhula wake wa miaka mitatu.
Tanzania inatarajiwa kuingia kwenye uchaguzi mkuu miaka miwili ijayo, Tulia atakuwa amebakisha mwaka mmoja kwenye muhula wake wa Urais IPU. Ukiachana na uchaguzi wa 2020, Sugu amekuwa na rekodi nzuri ya matokeo Mbeya mjini huku mwaka 2015 akizoa kura nyingi mpaka kuwa mbunge wa kwanza aliyechaguliwa kwa namba kubwa ya kura Tanzania nzima.
Mwaka huu wa 2023 wawili hao wamekuwa wakirushiana vijembe kila mmoja akitamba kumgaraza mwenzake uchaguzi wa 2025 huku Dkt. Tulia akianza na Sugu kujibu mapigo.
Uchaguzi wa ubunge jimbo la Mbeya Mjini umetiwa ndimu na chumvi! Tusubiri 2025..
Pia, soma=> Dkt. Tulia Ackson ameshinda Urais wa IPU kwa kishindo, apata kura 172 kati ya 303
Huyu Tulia ni mweupe sana Mbeya. Hakuna Mnyakyusa anayekubali kutawaliwa na wanawake. Huyu ni mbunge wa Magu kama alivyo Nepi, n.k