Cute Wife
JF-Expert Member
- Nov 17, 2023
- 1,906
- 5,000
Wakuu,
Aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Mbeya Mjini ambaye ni Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Nyassa Joseph Mbilinyi (Sugu) amesema kwa sasa CCM kimepoteza mvuto kwa sababu kimeshindwa kufikia matarajio ya wananchi wa Tanzania na ushawishi wake umeshuka.
Kupata taarifa na matukio ya kimkoa kuhusu Uchaguzi Serikali za Mitaa ingia hapa: LGE2024 - Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Sugu ameyasema hayo alipokuwa akihutubia wananchi wa jimbo la Kyela mkoani Mbeya wakati wa kuwanadi wagombea wa nafasi mbalimbali katika uchaguzi wa serikali za mitaa.
Aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Mbeya Mjini ambaye ni Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Nyassa Joseph Mbilinyi (Sugu) amesema kwa sasa CCM kimepoteza mvuto kwa sababu kimeshindwa kufikia matarajio ya wananchi wa Tanzania na ushawishi wake umeshuka.
Kupata taarifa na matukio ya kimkoa kuhusu Uchaguzi Serikali za Mitaa ingia hapa: LGE2024 - Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Sugu ameyasema hayo alipokuwa akihutubia wananchi wa jimbo la Kyela mkoani Mbeya wakati wa kuwanadi wagombea wa nafasi mbalimbali katika uchaguzi wa serikali za mitaa.