LGE2024 Sugu: CCM imepoteza ushawishi inatengenezea wananchi hofu

LGE2024 Sugu: CCM imepoteza ushawishi inatengenezea wananchi hofu

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Cute Wife

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
1,906
Reaction score
5,000
Wakuu,


Aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Mbeya Mjini ambaye ni Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Nyassa Joseph Mbilinyi (Sugu) amesema kwa sasa CCM kimepoteza mvuto kwa sababu kimeshindwa kufikia matarajio ya wananchi wa Tanzania na ushawishi wake umeshuka.

Kupata taarifa na matukio ya kimkoa kuhusu Uchaguzi Serikali za Mitaa ingia hapa: LGE2024 - Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Sugu ameyasema hayo alipokuwa akihutubia wananchi wa jimbo la Kyela mkoani Mbeya wakati wa kuwanadi wagombea wa nafasi mbalimbali katika uchaguzi wa serikali za mitaa.
 
CCM+ TISS+ POLICE+ KMKM= USHINDI WA KISHINDO
CCM OYEEEEEEEEEEE
 
Back
Top Bottom