Sugu: Japo niko peke yangu sitalala nitaendelea kupiga kampeni msije kunipigia kura kama za Sumaye

Sugu: Japo niko peke yangu sitalala nitaendelea kupiga kampeni msije kunipigia kura kama za Sumaye

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Mbunge aliyemaliza muda wake Joseph Mbilinyi wa Mbeya amesema kura za maoni ni kesho kutwa na kwamba yeye hatalala na atafanya kampeni ili asije kupigiwa kura kama za Sumaye.

Kura za Sumaye ndio zikoje?

Kwako Tindo

Maendeleo hayana vyama!
 
Back
Top Bottom