johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Mbunge aliyemaliza muda wake Joseph Mbilinyi wa Mbeya amesema kura za maoni ni kesho kutwa na kwamba yeye hatalala na atafanya kampeni ili asije kupigiwa kura kama za Sumaye.
Kura za Sumaye ndio zikoje?
Kwako Tindo
Maendeleo hayana vyama!
Kura za Sumaye ndio zikoje?
Kwako Tindo
Maendeleo hayana vyama!