ladyfurahia
JF-Expert Member
- May 10, 2011
- 14,753
- 9,575
Sugu ana ushamba flaniSugu hela inampeleka puta sana, kwa ukongwe wake hakupaswa ku behave namna hio. Mwana FA ana mzigo, AY nae ana mzigo pia.
Lady Jaydee nae zipo zipo sio haba. Wako kimya sana kuhusu hela zao.
Dogo Platinumz ndio funga kazi yani. Nafikiri hata Sugu hajamkuta bado.
We jamaa hapo kwenye ubongo wako kuna mavi.Swali mbona rahisi MO ni mbunge?
Halafu ule ushamba yeye haujui😂Sugu ana ushamba flani
Hao watu ni wabunge sasa hivi?Kwahiyo inamaana unataka kuniambia mo dewj au rostam walifuata zile milion 12 bungeni?
Duuh,mkuu ebu soma vitabu hata upanue akili kidogo,maana unatia aibu,hivi ujui cheo dhamana??kwa cheo chake hicho cha ubunge popote anadhaminika akihitaji mkopo anapata bila hata masharti,viongozi matajiri wanahitajika maana hata vikero vidogo wanamaliza wenyeweKama bilionea bungeni anafata nini?
Ingekuwa vinzuri ungetuwekea hapa na makadirio ya ukwasi wao inaonekana mchambuzi mnzuri wamambo ya watuSugu hela inampeleka puta sana, kwa ukongwe wake hakupaswa ku behave namna hio. Mwana FA ana mzigo, AY nae ana mzigo pia.
Lady Jaydee nae zipo zipo sio haba. Wako kimya sana kuhusu hela zao.
Dogo Platinumz ndio funga kazi yani. Nafikiri hata Sugu hajamkuta bado.
Donald Trump ni Moja ya mabilionea aliyetaka kuwa Rais na akawa Raisi wa Taifa kubwa ana akakataa hata kuchukua mshahara aliitaka Ile nafasi ili kupush agenda anazozisimamia na kuziamini.Duuh,mkuu ebu soma vitabu hata upanue akili kidogo,maana unatia aibu,hivi ujui cheo dhamana??kwa cheo chake hicho cha ubunge popote anadhaminika akihitaji mkopo anapata bila hata masharti,viongozi matajiri wanahitajika maana hata vikero vidogo wanamaliza wenyewe
Kuna mavi ya mama yako baada ya kumpakua kisamvu.We jamaa hapo kwenye ubongo wako kuna mavi.
Hoja ni sugu sio bilionea na hayupo(namkubali kazi zake ) ......tukabiliane hilo kwnzaDuuh,mkuu ebu soma vitabu hata upanue akili kidogo,maana unatia aibu,hivi ujui cheo dhamana??kwa cheo chake hicho cha ubunge popote anadhaminika akihitaji mkopo anapata bila hata masharti,viongozi matajiri wanahitajika maana hata vikero vidogo wanamaliza wenyewe
Unalinganisha mambo ya dunia ya kwanza na dunia ya tatu.........Donald Trump ni Moja ya mabilionea aliyetaka kuwa Rais na akawa Raisi wa Taifa kubwa ana akakataa hata kuchukua mshahara aliitaka Ile nafasi ili kupush agenda anazozisimamia na kuziamini.
Kweli umenenaDonald Trump ni Moja ya mabilionea aliyetaka kuwa Rais na akawa Raisi wa Taifa kubwa ana akakataa hata kuchukua mshahara aliitaka Ile nafasi ili kupush agenda anazozisimamia na kuziamini.
Kwani bilionea wa ulaya na bilionea wa Africa wanapimwa nanani kuwa mabilionea??U kipimo kipi kinatumika kuwapimaUnalinganisha mambo ya dunia ya kwanza na dunia ya tatu.........
Badae mtakuja mtasema mwigulu nchemba naye bilionea.
Yeye amesema ni billioneawa kwanza kwa wasanii waimbaji,basi ajitokeze msanii billionea hampinge,Hoja ni sugu sio bilionea na hayupo(namkubali kazi zake ) ......tukabiliane hilo kwnza
[emoji2962][emoji2957][emoji848] duh! Hii mpya tangu nizaliwe ndio nasikia leo sshv duh! Kama ajali vile dah!Kuna mavi ya mama yako baada ya kumpakua kisamvu.
Indeed! Wengine hawana account kabsaWengi wenu mliochangia huu uzi acc zenu hazijawai hata kufikiwa na milion 100 tzs...!! Alafu kelele nyingiiii
Inawezekana huyo mwigulu akaja kuwa billionea wa kwanza katika historia ya mawaziri kinashindikana nini? Fungua akili yako jombaa mbona umelala sana aisee.Unatoka bush la wapi hata huko vijijini watu siku hizi wajanja.Unalinganisha mambo ya dunia ya kwanza na dunia ya tatu.........
Badae mtakuja mtasema mwigulu nchemba naye bilionea.
Labda tupo dunia nyingineInawezekana huyo mwigulu akaja kuwa billionea wa kwanza katika historia ya mawaziri kinashindikana nini? Fungua akili yako jombaa mbona umelala sana aisee.Unatoka bush la wapi hata huko vijijini watu siku hizi wajanja.
Unataka kulinganisha na wapi sasa? Maana hata huko majuu nako ni duniani na Kuna watu kama huku Africa shida Iko wapi? Naona shida Iko kwenye uelewa wako,ni finyu pole sana.
Huyo jamaa ana mavi kwenye ubongo. Ana uelewa finyu. Mbona HH wa Zambia kaingia madarakani akiwa ni bilionea na nchi iko fresh kabia kiuongozi huku wananchi wakifurahia.Kwani bilionea wa ulaya na bilionea wa Africa wanapimwa nanani kuwa mabilionea??U kipimo kipi kinatumika kuwapima
Una kichwa kigumu kuelewa nimekuuliza wakati rostam na modewj ni wabunge inamaana walifuata mshahara bungeni?Hao watu ni wabunge sasa hivi?
Na kumbuka hao ubunge walipiga chini wenyewe sio sugu aliyeporwa uchaguzi analialia tu....