blogger JF-Expert Member Joined Mar 13, 2012 Posts 12,112 Reaction score 15,060 Nov 6, 2022 #141 taita..ππππππ
Drat JF-Expert Member Joined Oct 13, 2012 Posts 1,160 Reaction score 1,359 Sep 27, 2023 #142 Roger Sterling said: Bro huwa ana kaushamba flani hivi. Sasa naelewa ilikuwaje akajipata na yule BM wazimu. I'd understand if he flexed with a sick bar and what not. Click to expand... Akitamba Jay Z,Kanye West enzi zake ni sawa, ila Sugu mshamba, wakati wote kazi yao ni muziki. Sawa Sugu alienda ktk politics, lakini kilichomtambulisha zaidi ni muziki. Pia ikumbukwe amekuwa akifanya biashara muda. Kwa case yake kwa kuwa ni msanii, tena wa HipHop/Rap
Roger Sterling said: Bro huwa ana kaushamba flani hivi. Sasa naelewa ilikuwaje akajipata na yule BM wazimu. I'd understand if he flexed with a sick bar and what not. Click to expand... Akitamba Jay Z,Kanye West enzi zake ni sawa, ila Sugu mshamba, wakati wote kazi yao ni muziki. Sawa Sugu alienda ktk politics, lakini kilichomtambulisha zaidi ni muziki. Pia ikumbukwe amekuwa akifanya biashara muda. Kwa case yake kwa kuwa ni msanii, tena wa HipHop/Rap
mrangi JF-Expert Member Joined Feb 19, 2014 Posts 88,759 Reaction score 123,368 Sep 27, 2023 #143 Sugu mpiganaji,mwanaharakati toka kitambo Ova
MLUGURU JF-Expert Member Joined Mar 30, 2012 Posts 2,929 Reaction score 3,710 Sep 29, 2023 #144 Ujinga mtupu said: Una akili mgando sana Shabiby na abood bungeni wamefuata nn Click to expand... Sasa aliokwambia hao mabilionea ni nani...billionea na siasa wapi na wapi. Hujui kitu.
Ujinga mtupu said: Una akili mgando sana Shabiby na abood bungeni wamefuata nn Click to expand... Sasa aliokwambia hao mabilionea ni nani...billionea na siasa wapi na wapi. Hujui kitu.