Sugu kataja ubilionea wake! Wengine igeni mfano!

taita..πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ‘
 
Bro huwa ana kaushamba flani hivi. Sasa naelewa ilikuwaje akajipata na yule BM wazimu. I'd understand if he flexed with a sick bar and what not.
Akitamba Jay Z,Kanye West enzi zake ni sawa, ila Sugu mshamba, wakati wote kazi yao ni muziki.

Sawa Sugu alienda ktk politics, lakini kilichomtambulisha zaidi ni muziki.

Pia ikumbukwe amekuwa akifanya biashara muda. Kwa case yake kwa kuwa ni msanii, tena wa HipHop/Rap
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…