Sugu kufanya mkutano wa kuwashukuru wapiga kura wake tarehe 28/06/2020

Sugu kufanya mkutano wa kuwashukuru wapiga kura wake tarehe 28/06/2020

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
49,390
Reaction score
152,301
1592855716893.png
 
Tusubiri kusikia mkutano huo umezuiwa kutokana na taarifa za "kiintelijensia"
 
Aage Wananchi, ampishe dada msomi
Msomi asitetea wananchi bali anatetea serikali Bungeni hatufai.Bora hata alieishia darasa la nne mradi tu anaweza kutetea wananchi kuliko msomi asiejua wajibu wa Mbunge ni nini awapo Bungeni.
 
Ni bora anayetea serkali kuliko Chadema inayotetea mafisadi, wauza madawa ya kulevya na Mabeberu kupora raslimali zetu
Msomi asitetea wananchi bali anatetea serikali Bungeni hatufai.Bora hata alieishia darasa la nne mradi tu anaweza kutetea wananchi kuliko msomi asiejua wajibu wa Mbunge ni nini awapo Bungeni.
 
Back
Top Bottom