Elections 2010 Sugu, Mbeya ni yako

Kiranja Mkuu

JF-Expert Member
Joined
Feb 18, 2010
Posts
4,219
Reaction score
4,608
Tunataka Bunge lenye sura mpya.
kero za watu wa chini.
Sasa tunakupa jimbo letu, tunataka kero uzifanyie kazi.
Najua sisiemu watabana sana, lakini zimwage mjengoni.
Wishing u all the best.
 
Mpinzani wa Sugu kwenye uchaguzi mkuu atakuwa nani?
 
Mpinzani wake mkuu atakuwa Mh. Mpesya (CCM) mbunge anayemaliza muda wake ambaye ndo kapita katika kura za maoni ndani ya CCM!!
 
CCM ina wakati mgumu huko Mbeya.
Mpesya kwa miaka kumi hajafanya lolote na Wasafwa wenzie wesha mchoka vibaya.
Mpinzani wake mkuu atakuwa Mh. Mpesya (CCM) mbunge anayemaliza muda wake ambaye ndo kapita katika kura za maoni ndani ya CCM!!
 
mmhh...kampeni za chinichini..eeee
 
Sugu will rock! kazi kwao watu wa mkoa wa Mbeya msimuangushe....
 
Ebana huyu jamaa (Sugu) ukipata bahati ya kumsikiliza, anaongea vitu vya msingi sana.
Amebadilika sana.
Kama kweli akishinda atalete chalenji sana bungeni.
Ila angekuwa nagombea Dar sijui ingekuwaje kwani ile redio nanihii hawampendi. wangemfanyia fitna.
 
Sugu will do it.......Why not.....Jamaa kabadilika sana, ila kuna swali bado najiuliza, wabunge wengi ni wafanyabiashara na hata baada ya kupata uheshimiwa waliendelea na biashara zao, sasa Moto chini sijui itakua vp??? Ataendelea kushika kipaza hata baada ya Kuukwaa uheshimiwa???

All the best Sugu.....NI CHADEMA tu 2010
 

Mkuu huyu mgombea mm nafahamiana naye toka sikuj nyingi na namkubali, tatizo lipo kwa wapiga kura je watamchagua?????
 
wapiga kura wa mbeya msituangushe plzzz...! najua mbeya mjini wapinzani ni wengi saaana..! u dd it once wit nccr u can do it again with chadema..!

mbeya moto chini x 1000. tunawaita suguuu.....! kama tarime plzz!!!!!!!!!!!!!!
 
Mbeya ni ya upinzani siku hata Nyerere analijua hilo.
Sugu, u have nothing to lose.
Sisiem hawana kitu, kazi yao ni majungu na wizi wa kura tu.
Mwaka huu tumepata Masia wetu, shime shime tumpe kura za NDIO
 

Kama Komba..........
 
Sugu moto chini.
This is endless journey na ndio kwanza tuko hatua ya kwanza.
Mbeya ni yetu na ubunge ni wetu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…