KALYOVATIPI
JF-Expert Member
- Aug 11, 2011
- 1,414
- 199
Sugu muhuni tu. Form four failure.
Sugu muhuni tu. Form four failure.
Sugu muhuni tu. Form four failure.
Steven Ngonyani a.k.a Prof Majimarefu je??Sugu muhuni tu. Form four failure.
Sugu muhuni tu. Form four failure.
mararamiko/malalamiko, maudhui/mauzui, muuguzi/muhuguzi, silaha/siraha. acha ujinga mkuu huku kukosea kosea maneno kwa kijinga kunawafanya wengine wasielewe kinachoendelea. kumbuka jf inasomwa na wengi duniani
jamani wanajamii wenzang naomba kujua kwa yeyote anayefahamu chanzo cha mgogoro wa Ruge Mtahaba na Joeseph Mbilinyi .ak.a sugu ulianzia wapi na je hauna suruhisho.
Matatizo yao yalianzia mbali saaana ni kwenye unyonyaji wa Music lkn kuu kbs ni mradi wa Malaria.Khs wakosoaji kama umeelewa haina haja ya kukosoa mwenzio nmeangalia idadi kubwa ya waliokosoa nao wamekosea kama huamini rudia kuzisoma uone nao walivyokosea.Thx kama nimesomeka lengo ni kuelimishana na sio kuumbuana
Sugu muhuni tu. Form four failure.