MBUNGE wa Mbeya Mjini,
Joseph Mbilinyi (CHADEMA), amesema sheria ya uchaguzi katika nafasi za mameya na wenyeviti wa halmashauri nchini ina kasoro hivyo haipaswi kupewa nafasi katika Katiba mpya.
Alisema kitendo cha kundi la watu wachache (madiwani) kuwa na uwezo wa kisheria kumsimamisha kiongozi anayeenda kutetea maslahi ya watu wote hata wasio na vyama hakipaswi kupewa nafasi katika Katiba mpya ambayo moto wa kuidai kuandikwa upya umepamba moto kila kona ya nchi
Sikubaliani na Sugu katika hili.
Madiwani ni wawakilishi wa wananchi wa kata zilizopo kwenye wilaya husika, hivyo sio vibaya kwao kumchagua Meya au Mwenyekiti miongoni miongoni mwao kwa niaba ya wananchi waliowachagua.
Lakini sikubaliani kabisa na utaratibu wa sasa wa kuwaruhusu Wabunge wa Viti Maalumu kushiriki kwenye uchaguzi huo, huku ni kuwanyang'anya wananchi sauti ya uwakilishi wao walioufanya kupitia uchaguzi, hili ndilo linalopaswa kufanyiwa kazi.
Haipaswi kupewa nafasi au ionapaswa kupewa nafasi na marekebisho??????haijakaa sawa hiyo haya ni maneno ya Sugu au ya kwako Speaker?rekebisha hiyo haieleweki
Haipaswi kupewa nafasi au ionapaswa kupewa nafasi na marekebisho??????haijakaa sawa hiyo haya ni maneno ya Sugu au ya kwako Speaker?rekebisha hiyo haieleweki
MBUNGE wa Mbeya Mjini,
Joseph Mbilinyi (CHADEMA), amesema sheria ya uchaguzi katika nafasi za mameya na wenyeviti wa halmashauri nchini ina kasoro hivyo haipaswi kupewa nafasi katika Katiba mpya.
Alisema kitendo cha kundi la watu wachache (madiwani) kuwa na uwezo wa kisheria kumsimamisha kiongozi anayeenda kutetea maslahi ya watu wote hata wasio na vyama hakipaswi kupewa nafasi katika Katiba mpya ambayo moto wa kuidai kuandikwa upya umepamba moto kila kona ya nchi
Hapo kwenye RED kama upeo wako wa kufikiri ni finyu kiasi hicho, je unaonaje na rais akichaguliwa na wabunge kwa niaba yetu? maana kumbuka wabunge ni wawakilishi wa majimbo yetu.
mbunge wa mbeya mjini,
joseph mbilinyi (chadema), amesema sheria ya uchaguzi katika nafasi za mameya na wenyeviti wa halmashauri nchini ina kasoro hivyo haipaswi kupewa nafasi katika katiba mpya.
Alisema kitendo cha kundi la watu wachache (madiwani) kuwa na uwezo wa kisheria kumsimamisha kiongozi anayeenda kutetea maslahi ya watu wote hata wasio na vyama hakipaswi kupewa nafasi katika katiba mpya ambayo moto wa kuidai kuandikwa upya umepamba moto kila kona ya nchi