gues wewe una zaid ya hyo but hutapata hata ukokoto wa mcngi,mpeni heshma yake mtu,mapambano alopitia cdhan wew unaweza kujaribu hata chembe.wapo wenyeUPROFESOR but ni wehuMtu aliyepata FOUR form FOUR naye atakuwaje jiwe la msingi? Kweli dunia haiishi maajabu.
Mtu aliyepata FOUR form FOUR naye atakuwaje jiwe la msingi? Kweli dunia haiishi maajabu.
<br />Mtu aliyepata FOUR form FOUR naye atakuwaje jiwe la msingi? Kweli dunia haiishi maajabu.
Mtu aliyepata FOUR form FOUR naye atakuwaje jiwe la msingi? Kweli dunia haiishi maajabu.
Mtu aliyepata FOUR form FOUR naye atakuwaje jiwe la msingi? Kweli dunia haiishi maajabu.
<br />Mtu aliyepata FOUR form FOUR naye atakuwaje jiwe la msingi? Kweli dunia haiishi maajabu.
Mtu aliyepata FOUR form FOUR naye atakuwaje jiwe la msingi? Kweli dunia haiishi maajabu.
Wewe uliyepata "wani" umefanya nini hasa cha kujivunia, hata kwa familia yako tu? Zaidi ya kuwauza bibi na babu zako ukikesha kujibu mapigo ya watetezi wao. Ningekuwa Mungu, watu kama nyie msingezaliwa kabisa.Mtu aliyepata FOUR form FOUR naye atakuwaje jiwe la msingi? Kweli dunia haiishi maajabu.
Usiende mbali sana, Muulize mwenyewe Mwita anadai alipata divisheni wani form four mbona haijamkomboa na anatumwa kazi pale Claudz maana inasemekana yupo upande wa TV matayalisho ya vipindiYaani Mwita Nashindwa kukuelewa kabisa ndugu yangu, inawezekana katika maisha yako hujaona watu ambao ni JIWE LA MSINGI na elimu ndogo!? Mzee wetu Rashid Kawawa wakati anachukua uwaziri mkuu alikuwa na elimu gani? Mzee wetu ambaye mpaka sasa tunamkumbuka kwa busara na uongozi thabiti Abeid Karume naye unamzungumziaje? hao wote hapo waliiongoza hii nchi mpaka ikawa ni mfano wa kuigwa. Angalia ambao ni wasomi Benjamin Mkapa, Jakaya Kikwete, Edward Lowasa, Andrew Chenge na wengine wengi wa aina hiyo wametupeleka wapi mpaka sasa.? Elimu ya Sugu sio iliyompatia Ubunge bali ni namna yake ya kujenga Hoja na Kuitetea. nitajie mwenye elimu kubwa katika chama chako cha magamba ambaye ameweza kutumia elimu yake kuwaokoa Watanzania katika matatizo kibao. Ndio, Elimu ni muhimu sana ktk maisha ya mwanadamu lakni kama CCM wameshindwa kuwapa elimu Watanzania wengi akiwemo SUGU unatazamia tutaongozwa na nani?
PUNGUZA DHARAU NDUGU YANGU, HIYO ELIMU YAKO ITUMIE KUELIMISHA WENGINE BADALA YA KUWAKEJERLI.
Mbona yeye ana div1 lakini anatumwa kazi pale Cloudz utadhani mtoto mdogo na kimshahara cha chini ya M1,Wee Mwita25 inaonekana unafikiri kwa kutumia tumbo na wala siyo akili. Umeshajiuliza maisha ya maprofesa, ma DR., mainjinia, then uyalinganishe na waheshimiwa wabunge na mawaziri wetu na rais ambao wengi wao ni form four leaver au form six leavers? Je umeshajiuliza wafanyabiashara wenye pesa ndefu wana elimu gani? Wana mchango gani kwa jamii? Ukijibu maswali haya utakuwa umeelewa kuwa kichwani mwako kuna matope au funza wanaokufanya ushindwe kufikiri, ndo maana unaropoka ovyo ovyo. Kama una chuki zako binafsi na Sugu ishia huko huko au umetumwa na magamba? Imekula kwako.
<br /><br /><br />
<br /><br />
<br />
ni ajabu binadamu kama wewe kuwa na akili za mbuzi
hahahahahaa! Kenye tunasema kazi ya kuandikwa!Usiende mbali sana, Muulize mwenyewe Mwita anadai alipata divisheni wani form four mbona haijamkomboa na anatumwa kazi pale Claudz maana inasemekana yupo upande wa TV matayalisho ya vipindi
babu yako hakufika hata la nne lakini ni jiwe la msingi la baba yako na wewe, kuwa m2 mzima.Mtu aliyepata FOUR form FOUR naye atakuwaje jiwe la msingi? Kweli dunia haiishi maajabu.
usiingize kabila hapo, ni yeye mwenywe.Pumbavu we mwita'kwanza kabila tu "lishasema ushamba wako'
<br />Mtu aliyepata FOUR form FOUR naye atakuwaje jiwe la msingi? Kweli dunia haiishi maajabu.